Waalimu wapya 2014 piteni hapa

Waalimu wapya 2014 piteni hapa

mbontafo

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
87
Reaction score
40
nashkuru kuitika wito. wangu.najua ni jinsi gani mwajawa na vihoro kila msikiapo suala la ajira.ni wengi wamesema,wametabiri na kudanganya kabisa ooh ajira leo,mara kesho.kua na subira yumkini ulihitimu shahada/stashahada ama cheti vema bila tatizo ajira ni haki yako ewe mwalimu.ikifika siku ya ndizi kuiva,utaikwanyua tu na kuila kwa raha zako.wakusema watabaki midomo waaz
 
nashkuru kuitika wito. wangu.najua ni jinsi gani mwajawa na vihoro kila msikiapo suala la ajira.ni wengi wamesema,wametabiri na kudanganya kabisa ooh ajira leo,mara kesho.kua na subira yumkini ulihitimu shahada/stashahada ama cheti vema bila tatizo ajira ni haki yako ewe mwalimu.ikifika siku ya ndizi kuiva,utaikwanyua tu na kuila kwa raha zako.wakusema watabaki midomo waaz

Ndio mwalimu wako wa Kiswahili alikufundisha kuandika hivi?
Enyi kizazi cha Mulugo,mnataka walimu wawafundishe huku wamevua nguo ndio muelewe?
 
kwahiyo? mbona sijaelewa lengo la post yako? au unataka umaarufu?
 
myakubanga nimekosea wapi ndugu?mbona kiswahili kinaeleweka? nyanya zinapanda lakini?
 
nashkuru kuitika wito. Wangu.najua ni jinsi gani mwajawa na vihoro kila msikiapo suala la ajira.ni wengi wamesema,wametabiri na kudanganya kabisa ooh ajira leo,mara kesho.kua na subira yumkini ulihitimu shahada/stashahada ama cheti vema bila tatizo ajira ni haki yako ewe mwalimu.ikifika siku ya ndizi kuiva,utaikwanyua tu na kuila kwa raha zako.wakusema watabaki midomo waaz

hii ni dharau kubwa kwa walimu!
 
Join Date : 24th February 2014
Posts : 9
Rep Power : 302
Likes Received : 0
Likes Given :1
 
kuna Mwalimu kamaliza MUCE, hana shida kabisa naajila za uwalimu, kajiajili kwa wiki anaingiza kipato kikubwa sana zaidi mshahara wa uwalimu, walimu jitahidin kutafta fursa
 
nimekuuliza kuhusu nyanya huenda post yangu umeipata kiusinonimia.hakuna ukengeufu juu ya lonena.sema jingine huenda ukasaidika vema sna sio kubaki kwene uchakataji tu

Angalia kwenye bold.
Uliambiwa kila unapo anza sentensi,anza na herufi kubwa,sio?
 
Back
Top Bottom