awa jamaa tamisemi awaeleweki kabisa iweje waweke majina ya chuo kimoja st.john angali swala kukosa ajira ni ya vyuo vingi sasa ayo majina mengine wataweka lini huu si usawa kabisa kama ajira ni yawalimu basi tupate wote
Mwalimu wenu: ivi kak msoto wa kitaa unaujuwa or vip awajamaa wannaongeza magonjwa ya moyo wangejaribu kuchanganya majina kidogo na ayo ya st.john kitaa kugumu
Unachosema mcharge ni kweli kabisa.Me mwenyewe nilikuwa na wakati mgumu sana baada ya majina yetu kutokutolewa na tamisemi ile tr.15.Tuzidi tu kuwahimiza tamisemi,kitaani pagumu sana.
Nasikitika kupeleka malalamiko yangu tamisemi ambao wanaona ni kawaida kupanga watu wa chuo kimoja alafu wanaita "nyongeza ya walimu"kwl jamani,na sisi mliotuacha mtaani 2tapangiwa lini maana mmetuahidi lakn matokeo yake ndo hayo ya majina ya sjut dom,2nawaomba mtufikirie jamani.