Waambieni ndugu zenu wenye fikra potofu

Waambieni ndugu zenu wenye fikra potofu

Memeda

Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
72
Reaction score
18
Ata ccm wakichukua urais, wajue kuw 85% ya wabunge watakuw ni UKAWA, lkn sidhani km watachukua kt cha urais, sema kuna watu watatuangusha, hawa bhana bodo wanafikra potofu eti UKAWA wakichukua urais basi mambo yataenda kombo, sio kweli, Wale wa ccm ni binadam na wa ukawa ni binadamu ila tunatak mabadiliko majona Naija wameweza.
 
Ata ccm wakichukua urais, wajue kuw 85% ya wabunge watakuw ni UKAWA, lkn sidhani km watachukua kt cha urais, sema kuna watu watatuangusha, hawa bhana bodo wanafikra potofu eti UKAWA wakichukua urais basi mambo yataenda kombo, sio kweli, Wale wa ccm ni binadam na wa ukawa ni binadamu ila tunatak mabadiliko majona Naija wameweza.
Wewe weka hoja za maana we undahani hai Ukawa watu au waganga njaa tu, hawawezi kupewa kuongoza hii nchi hata cku moja, acha porojo zako hapa
 
Ha ha ha ha mtoa uzi umefulia naona unaweweseka tu presha imepanda hizo asilimia 85 umetoa chini ya mwembe mziki ndo kwanza umeanza subiri tu!
 
Back
Top Bottom