lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Kwanini SHOMARI KAPOMBE na MOHAMED HUSSEIN 'SHABALALA" wameachwa katka uteuzi wa Timu ya Taifa.
Ukweli uliowazi ,unaoaminiwa na wote waliokaribu na usimamizi wa Timu ya Taifa ni KWAMBA, vijana hawa HUWA HAWAJITUMI wakiwa timu ya Taifa kama wanavyojituma wakiwa kwenye timu yao ya SIMBA.
Hili silisemi kutoka HEWANI , ni kutoka kwa mmoja wa watu MASHUHURI miongoni mwa wasimamizi wa karibu wa vijana wanapokuwa NATIONAL TEAM.
WAAMBIENI UKWELI.
Ukweli uliowazi ,unaoaminiwa na wote waliokaribu na usimamizi wa Timu ya Taifa ni KWAMBA, vijana hawa HUWA HAWAJITUMI wakiwa timu ya Taifa kama wanavyojituma wakiwa kwenye timu yao ya SIMBA.
Hili silisemi kutoka HEWANI , ni kutoka kwa mmoja wa watu MASHUHURI miongoni mwa wasimamizi wa karibu wa vijana wanapokuwa NATIONAL TEAM.
WAAMBIENI UKWELI.