Waamuzi wa nchii hii wanaharibu soka letu

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Sijasikia taarab kuhusu zile red card zilivyokuwa zinamwaga kama njugu jana.

Je bahasha zimefanya kazi yake?

Wale wale wapika tuhuma na majungu wamejikausha kama vile hawapo duniani.

Ifike wakati tuweke pembeni unazi tushughulikie tatizo la uendeshaji wa mpira wetu.

Kama mwamuzi anaharibu mpira ashughulikiwe ipasavyo.

Kama ni administator iwe hivyo hivyo.

Tunapaka matope mpira wetu bila sababu hata pale ambapo makosa ni ya kawaida ya kibinadamu au uwezo mdogo wa refa husika.
 
Hata kama huna akili huwezi halalisha ile penalty yenu ya mchongo dhidi ya Geita
 
Hata kama huna akili huwezi halalisha ile penalty yenu ya mchongo dhidi ya Geita
Vitu vya wazi wazi mnabisha bisha tu as if ni siasa za Chadema na CCM. Sisi tutaendelea kushabikia Yanga na Simba tu ndio fahari yetu.
.
Tutalaumu marefa lakini tunashindwa kuangalia tatizo la mpira wetu ni zaidi ya marefa.
 
Vijana nguvu kazi ya taifa
Huu ni muda wa kuijenga nchi yetu.
 
Kila mtu anajua Tanga mnataka kubalance...
Kluficha unbeaten mchongo
 
Narudia kwa msisitizo ni yule tu mwendawazimu ambaye anaweza halalisha ile penalty ya mchongo
Vitu vya wazi wazi mnabisha bisha tu as if ni siasa za Chadema na CCM. Sisi tutaendelea kushabikia Yanga na Simba tu ndio fahari yetu.
.
Tutalaumu marefa lakini tunashindwa kuangalia tatizo la mpira wetu ni zaidi ya marefa.
 
Siku zote mashabiki wapumbavu wako simba ndo maana unaona leo hapa jf ni kiyma kabisa kama hakuna kilichotokea kabisa.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa na mashabiki wa yanga ni wakarim sana wanaenda mpaka airport kuwapokea wageni huo ni uzalendo wa hali ya juu.
 
Haya wewe leo unayo nafasi ya kuongea. Tuambie ni red card gani haikuwa sahihi jana?
Kitendo alichofanya Kitenge ndio kilichofanya Morrison akafungiwa mechi 3 na Arajiga hajulikani alipo mpaka sasa.
Cassian alifanya kosa la kizembe sana baada ya kuzidiwa kasi na Okrah akaishia kumvuta nguo. Kadi halali ya njano.
Labda sasa tuongelee faulo aliyocheza Shikalo kwa Sakho hadi akaumia yeye ni kwanini haikuwa penalty?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…