Waamuzi wakamatwe na kuhojiwa

Waamuzi wakamatwe na kuhojiwa

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mpira wa miguu una wadau wengi sana duniani, Africa na Tanzania. Ukifanya kosa kwenye mpira kama mchezaji kukosa nafasi ya wazi ya kufunga, mchezaji kumuumiza mchezaji, timu kufungwa au waamuzi kuchezesha mechi vibaya Ujue unaumiza wengi sana wa jinsia, umri, dini, taaluma na hadhi tofauti kwa viwango tofauti. Wako watakaokisa furaha TU lakini wako watakaotoa machozi, kupata Sonoma, shinikizo la damu, kufukuzwa kazi na hata kujiua.

Watu wanaoumizwa na matokeo ya mpira viwanjani ni pamoja na wamiliki wa timu, viongozi wa timu, makocha, wadhamini, wanachama na mashabiki na makampuni ya kubahatisha (betting).

Mwamuzi anapokosea kwenye maamuzi yake inaweza kusababishwa na mambo yafuatayo:
1. Ubinadamu TU, bahati mbaya.
2. Mapemzi yake binafsi kwenye timu fulani kuisaidia isifungwe, isipitwe, isishuke daraja, au isikutwe kwa points.
3. Kuhongwa na wenye timu, wadhamini, mashabiki, waliobet au kampuni ya kubet.

Ili kutatua shida ya uwamuzi mbaya viwanjani lazima kufanyike yafuatayo:
1. Kuzuia makosa yasifanyike kwa kutumia waamuzi wenye taaluma kubwa,
2. Kuweka VAR viwanjani kama wengine
3. Timu kuwa na vyamzo vya mapato
4. Waamuzi kukamatwa na kuhojiwa ili kufahamu dhamira za waamuzi kuamua kama walivyoamua kwenye mechi husika.
 
Mapendekezo yako ni mazuri lakini kwa hali ya kiuchumi na mazingira ya eneo hili la Kusini mwa jangwa la Sahara ukiitoa South Africa ni ngumu kidogo.

Mimi naona solution kwa kuwa waamuzi tunaishi nao huku huku mtaani tumalizaneni nao kwa utaratibu unaofaa ili siku nyengine ajishauri mara kumi kumi.
Kwasababu viwanjani pale wanapata protection ya ma FFU.
 
Mapendekezo yako ni mazuri lakini kwa hali ya kiuchumi na mazingira ya eneo hili la Kusini mwa jangwa la Sahara ukiitoa South Africa ni ngumu kidogo.

Mimi naona solution kwa kuwa waamuzi tunaishi nao huku huku mtaani tumalizaneni nao kwa utaratibu unaofaa ili siku nyengine ajishauri mara kumi kumi.
Kwasababu viwanjani pale wanapata protection ya ma FFU.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Utawafanya waombe kuishi boarding.
 
Mpira wa miguu una wadau wengi sana duniani, Africa na Tanzania. Ukifanya kosa kwenye mpira kama mchezaji kukosa nafasi ya wazi ya kufunga, mchezaji kumuumiza mchezaji, timu kufungwa au waamuzi kuchezesha mechi vibaya Ujue unaumiza wengi sana wa jinsia, umri, dini, taaluma na hadhi tofauti kwa viwango tofauti. Wako watakaokisa furaha TU lakini wako watakaotoa machozi, kupata Sonoma, shinikizo la damu, kufukuzwa kazi na hata kujiua.

Watu wanaoumizwa na matokeo ya mpira viwanjani ni pamoja na wamiliki wa timu, viongozi wa timu, makocha, wadhamini, wanachama na mashabiki na makampuni ya kubahatisha (betting).

Mwamuzi anapokosea kwenye maamuzi yake inaweza kusababishwa na mambo yafuatayo:
1. Ubinadamu TU, bahati mbaya.
2. Mapemzi yake binafsi kwenye timu fulani kuisaidia isifungwe, isipitwe, isishuke daraja, au isikutwe kwa points.
3. Kuhongwa na wenye timu, wadhamini, mashabiki, waliobet au kampuni ya kubet.

Ili kutatua shida ya uwamuzi mbaya viwanjani lazima kufanyike yafuatayo:
1. Kuzuia makosa yasifanyike kwa kutumia waamuzi wenye taaluma kubwa,
2. Kuweka VAR viwanjani kama wengine
3. Timu kuwa na vyamzo vya mapato
4. Waamuzi kukamatwa na kuhojiwa ili kufahamu dhamira za waamuzi kuamua kama walivyoamua kwenye mechi husika.
Wewe unafanya kazi gani, tuanzie hapo kwanza
 
Sasa mwamuzi analipwa laki mbili kuchezesha mechi moja, anahongwa milioni moja au mbili ataziachaje, halafu adhabu yake km itaonekana kaboronga anafungiwa mechi 3,halafu anarudi uwanjani kuchezesha, maisha yanaendelea.
 
kelele nyingi full time simba 3 - 1 Asec Mimosas
 
Hata kilichofanyika kupata 3-1 kwa mkapa kinafahamika pia.
kabla jogoo hajawika mkakana kauli yenu
uto hamna akili

B4E31502-E2CB-4FAC-87F9-2C56BF9A3746.jpeg
 
kabla jogoo hajawika mkakana kauli yenu
uto hamna akili

View attachment 2118992
Kauli ile haikumaanisha kuwasusia nguruwe shamba la mihogo wale na kunyea humohumo. Kuna timu huwa linatenga fungu la fedha kwenye bajeti zao kufanikisha kushinda mechi zao kwa njia zisizokubalika. Miongoni mwa mbinu hizo ni kuwatekenya waamuzi, TFF na madhira kwenye vyumba vya kubadilishia nguo viwanjani.

Ukisema watu wasilalamike utakuwa upuuzi sawa na upuuzi mwingine.
 
Back
Top Bottom