Waamuzi wanaihujumu Azam

Waamuzi wanaihujumu Azam

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Watu wengi hawapendi kukutana na vitu vyenye maudhi kwao. Ili kuepuka maudhi watu Wana tabia ya kujizuia kukutana na vyanzo vya maudhi hayo.

Watu wengi hawapendi kuangalia mechi za ligi kuu ili kuepuka maudhi yanayoletwa na waamuzi, hii inakwenda kuua moyo wa kuangalia TV na kwenda viwanjani kuangalia matokeo yaliyopangwa tayari. Kwakufanya hivyo lengo la Azam na wadau wengine kudhamini ligi halitatimia.

Huwezi kuamini namna usumbufu wanaoupata mashabiki, wanachama, wachezaji na wamiliki wa timu kwaajili ya njaa na mahaba ya waamuzi.

Kwanini bodi ya ligi inakataa wazo la kuruhusu TV moja iweko uwanjani kusaidia replays za matukio tata uweanjani ili kujaribu kuondoa makosa ya kibinadamu ya maamuzi ili kila timu ivune ilichostahili? Ina maana basi Kuna baraka za TFF kwenye madudu haya. Adhabu hizi zinazotolewa kwa waamuzi hazitoshi kabisa, hazimfanyi mwamuzi aogope kuchezeaha vile anavyochezesha.
 
Hapa sawa Ni Azam tv kuboresha urushaji wa matangazo yao ili kila mpenda Michezo na hao viongozi wa mpira waone mubashara bila kuacha mashaka. Kuwepo na camera za kuonyesha matukio Tata kwa undani (in more details) hii itasaidia kujifunza na kujirekebisha.
 
Kwahiyo ndo unataka kutwambia kuwamba Azamu wamekutuma?
 
Huwezi jua.. pengine ni mpango wa kuleta VAR kwenye ligi yetu
 
Kwahiyo ndo unataka kutwambia kuwamba Azamu wamekutuma?
Wewe unaonaje? Lengo la Azam kutoa fedha za matangazo ni watu kununua vifurushi vya Azam tv kwa wingi ili waone burudani safi ya mpira pamoja na wao kutangaza bidhaa zao. Anataka ligi yetu iwe na watazamaji wengi ndani na nje ya tz. Nani Yuko tayari kuona mechi zinazoamuliwa matokeo na waamuzi? Ndio maana hata wachezaji wetu hawasongi mbele.
 
Watu wengi hawapendi kukutana na vitu vyenye maudhi kwao. Ili kuepuka maudhi watu Wana tabia ya kujizuia kukutana na vyanzo vya maudhi hayo.

Watu wengi hawapendi kuangalia mechi za ligi kuu ili kuepuka maudhi yanayoletwa na waamuzi, hii inakwenda kuua moyo wa kuangalia TV na kwenda viwanjani kuangalia matokeo yaliyopangwa tayari. Kwakufanya hivyo lengo la Azam na wadau wengine kudhamini ligi halitatimia.

Huwezi kuamini namna usumbufu wanaoupata mashabiki, wanachama, wachezaji na wamiliki wa timu kwaajili ya njaa na mahaba ya waamuzi.

Kwanini bodi ya ligi inakataa wazo la kuruhusu TV moja iweko uwanjani kusaidia replays za matukio tata uweanjani ili kujaribu kuondoa makosa ya kibinadamu ya maamuzi ili kila timu ivune ilichostahili? Ina maana basi Kuna baraka za TFF kwenye madudu haya. Adhabu hizi zinazotolewa kwa waamuzi hazitoshi kabisa, hazimfanyi mwamuzi aogope kuchezeaha vile anavyochezesha.
umeongea UKABWILI mtupu
 
Wewe unaonaje? Lengo la Azam kutoa fedha za matangazo ni watu kununua vifurushi vya Azam tv kwa wingi ili waone burudani safi ya mpira pamoja na wao kutangaza bidhaa zao. Anataka ligi yetu iwe na watazamaji wengi ndani na nje ya tz. Nani Yuko tayari kuona mechi zinazoamuliwa matokeo na waamuzi? Ndio maana hata wachezaji wetu hawasongi mbele.
Mbona yanga walipo ihujumu namungo hamkusema?
 
Back
Top Bottom