DOKEZO Waandaaji wa Rocky City Marathon - Mwanza walikusanya pesa za Washiriki na wapo kimya takribani Mwaka sasa

DOKEZO Waandaaji wa Rocky City Marathon - Mwanza walikusanya pesa za Washiriki na wapo kimya takribani Mwaka sasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Waandaji wa Rock City Marathon Mwaka jana 2023 walitangaza kuandaa mbio za Rocky City Marathon na kuanza kukusanya ada za ushiriki ambao zilitakiwa kufanyika tarehe 2 November 2023.

Baadaye wakatangaza kusogezwa mbele kwa mbio hizo mpaka tarehe 4 December 2023, siku kadhaa baadaye wakatangaza hazitakuwepo mpaka hapo itakapotangazwa tena.

Ni takribani Mwaka mmoja sasa na wapo kimya bila kutoa taarifa wakati walikusanya pesa za Watu, tuwaelewaje, kibaya zaidi Wadau wenye majina makubwa walikuwa sehemu ya 'patnaz' wa shughuli hiyo, je nao wanajua kilichotokea au walihusika?

Screenshot_20241111-234054.png
Snapinsta.app_398226307_984070546011555_7872520476497297290_n_1080.jpg

Screenshot_20241111-234106.png
 
Ishaisha hiyo mkuu.. hivi unalipaiaje kwenda kukimbia kilomuta 5 au 10..
Mbona mimi huwa nipo na wana kama 5 hadi 14 tunakimbia wenyewe kila weekend tukiamua.
 
Tunamshukuru mama yetu kwa kufanikisha hili.
 
Back
Top Bottom