TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Twende kwenye mada moja kwa moja.
Kwanza nawapongeza kwa hatua nyingine baada ya miaka zaidi ya kumi na kenda ya kupotea kwa mbio hizo na mwaka huu kuamua kuzirudisha kwa nguvu.
Unapozipa mbio jina la International ina maana unategemea kuwa tofauti na zile za kina Goba, Meru, sijui Ushoroba nk ikiwa na maana uwakilishi wa wakimbiaji na usanifu wake utakuwa wa hadhi ya juu.
Kuna mtu naweza kumtaja ila inaweza isiwe na maana kama muhusika alijua au kutojua ethics za marathon!.
MLIKWAMA WAPI?
1. Mpakaa mkashindwa kuwapa muongozo jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani waliotakiwa kuongoza mbio za 21km kuongoza wakimbiaji?.
2. Wakimbiaji wanapishana na waendesha pikipiki na magari njiani?.
3. Mkimbiaji anadondoka njiani na anahudumiwa na wakimbiaji wenzake?.
4. Kwenye kumalizia mbio, hakuna usimamizi zaidi ya watu ambao hawakukimbia na waliomaliza kujazana kwenye finishing point?.
5. Watoaji wa 🏅 medal sijui mliwatoa wapi au hamkujipanga kwa style ya kutoa.
6. 🏅 medal zilitolewa hata kwa watu wa mtaani na ambao hawakukimbia hii ni kituko.
7. Utolewaji wa vifaa vya mbio, mtu yupo nyumbani anapiga simu na kutuma mtu apewe t-shirt, namba (nadhani) pasi kulipa!.
👉🏾Hayo tu, japo ni kadhaa yametunzwa!.
Kwa kuwa mlikuwa na kamati kubwa wakiwepo viongozi wa chama cha mbio cha Tanganyika huku serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwashika mkono nadhani mlipaswa kutoa product ya kuigwa badala la kile tulichoshuhudia.
Kwanza nawapongeza kwa hatua nyingine baada ya miaka zaidi ya kumi na kenda ya kupotea kwa mbio hizo na mwaka huu kuamua kuzirudisha kwa nguvu.
Unapozipa mbio jina la International ina maana unategemea kuwa tofauti na zile za kina Goba, Meru, sijui Ushoroba nk ikiwa na maana uwakilishi wa wakimbiaji na usanifu wake utakuwa wa hadhi ya juu.
Kuna mtu naweza kumtaja ila inaweza isiwe na maana kama muhusika alijua au kutojua ethics za marathon!.
MLIKWAMA WAPI?
1. Mpakaa mkashindwa kuwapa muongozo jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani waliotakiwa kuongoza mbio za 21km kuongoza wakimbiaji?.
2. Wakimbiaji wanapishana na waendesha pikipiki na magari njiani?.
3. Mkimbiaji anadondoka njiani na anahudumiwa na wakimbiaji wenzake?.
4. Kwenye kumalizia mbio, hakuna usimamizi zaidi ya watu ambao hawakukimbia na waliomaliza kujazana kwenye finishing point?.
5. Watoaji wa 🏅 medal sijui mliwatoa wapi au hamkujipanga kwa style ya kutoa.
6. 🏅 medal zilitolewa hata kwa watu wa mtaani na ambao hawakukimbia hii ni kituko.
7. Utolewaji wa vifaa vya mbio, mtu yupo nyumbani anapiga simu na kutuma mtu apewe t-shirt, namba (nadhani) pasi kulipa!.
👉🏾Hayo tu, japo ni kadhaa yametunzwa!.
Kwa kuwa mlikuwa na kamati kubwa wakiwepo viongozi wa chama cha mbio cha Tanganyika huku serikali ya Mapinduzi Zanzibar ikiwashika mkono nadhani mlipaswa kutoa product ya kuigwa badala la kile tulichoshuhudia.