Waandamanaji Jijini Kisumu wavamia Mochwari na kuondoka na vifaa

Waandamanaji Jijini Kisumu wavamia Mochwari na kuondoka na vifaa

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Waandamanaji Jijini Kisumu wamewaacha watu wengi vinywa wazi baada ya tukio la hapo jana ambapo walivamia hifadhi ya maiti ya Kwee iliyoko ndani ya Hospitali ya Rufaa ya Jaramogi Oginga Odinga.

Mochwari hiyo mpya ilifunguliwa rasmi na Gavana Anyang' Nyong'o tarehe 28 Machi mwaka huu na iliigharimu serikali ya kaunti ya Kisumu milioni 37(ksh) kununua.

Waandamanaji walivunja vioo na kuharibu geti huku wakiondoka na baadhi ya vifaa vinavyotumika katika uhifadhi wa maiti.

Gavana wa kaunti hiyo Prof Anyang'Nyong'o amelaani vikali kitendo hicho huku akiomba Jeshi la Polisi kufungua jalada la uchunguzi na kuwakamata washukiwa kwa haraka iwezekanavyo.


k5bYUTCTTeJG6e83cuaqLCNDVgTuI3btJsMbm5or.jpg
 
Waandamanaji Jijini Kisumu wamewaacha watu wengi vinywa wazi baada ya tukio la hapo jana ambapo walivamia hifadhi ya maiti ya Kwee iliyoko ndani ya Hospitali ya Rufaa ya Jaramogi Oginga Odinga.

Mochwari hiyo mpya ilifunguliwa rasmi na Gavana Anyang' Nyong'o tarehe 28 Machi mwaka huu na iliigharimu serikali ya kaunti ya Kisumu milioni 37(ksh) kununua.

Waandamanaji walivunja vioo na kuharibu geti huku wakiondoka na baadhi ya vifaa vinavyotumika katika uhifadhi wa maiti.

Gavana wa kaunti hiyo Prof Anyang'Nyong'o amelaani vikali kitendo hicho huku akiomba Jeshi la Polisi kufungua jalada la uchunguzi na kuwakamata washukiwa kwa haraka iwezekanavyo.


View attachment 2572070
Raila kaza buti mpaka huyo Raisi wa Venezuela arudi kwao.
 
Back
Top Bottom