mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Ikiwa ni siku ya tano ya maandamano yanayoendelea nchini Nigeria ya kupinga hali ngumu ya maisha na ukosefu wa ajira kwa vijana, huku raia wakitaka serikali ishuhulikie suala hilo kwa haraka zaidi, wananchi hao wameonekana wakicheza kwenye magari ya vikosi vya jeshi la taifa, hata hivyo vikosi vya usalama vimehakikisha ulinzi na usalama wakati wa maandamano
Pia soma
Pia soma
- Nigeria: Watu kadhaa wauawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya kulalamikia gharama ya maisha
- Wanigeria wakabiliwa na marufuku ya kutotoka nje ya saa 24 kufuatia maandamano