GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na nasikia Mmoja wao Watu hawataamini kuwa nae kafika Bei kwani katikati mwaka jana alipiganiwa na kuonewa mno Huruma lakini huyo huyo kaamua Kusaliti na Kufika Bei.
Wengine Wawili waliobakia ilikuwa ni Suala la muda (hasa kusubiria Matokeo ya kilichoisha muda si mrefu) ili wapate sababu Tukuka ya Kuhamia Chama cha Furaha ya Machoni tu, ila Ndani Migogoro Tupu.
Wengine Wawili waliobakia ilikuwa ni Suala la muda (hasa kusubiria Matokeo ya kilichoisha muda si mrefu) ili wapate sababu Tukuka ya Kuhamia Chama cha Furaha ya Machoni tu, ila Ndani Migogoro Tupu.