Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Naona zoezi la uandikishaji linazidi kuwa la moto, naona waandikishaji sasa hivi washaanza kula viapo huko
Kwenye taarifa ya tume hawa waandikishaji wameapa "kutunza" siri za Ukumbi wa Halmashauri.
Sasa najiuliza hizi siri wanazotakiwa kutunza ni zipi ambazo wananchi hawatakiwi kujuq? Uchaguzi ni jambo linalotakiwa kuwa wazi, kama ni hivyo hawa waandikishaji wanatunza siri gani ambazo wananchi hatutakiwi kujua?
Au wanamaanisha taarifa za watu wanaojiandikisha?
Nadhani kuna haja ya Tume kutolea ufafanuzi wa hizo siri ambazo hawa watu wanatakiwa kutunza!
================================================
Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Mwanzo Kigamboni Ndg.Joyce Akyoo akiwaapisha watendaji ngazi ya Jimbo kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kile cha kutunza siri katika ukumbi wa Halmashauri Manispaa ya Kigamboni leo tarehe 10 Machi, 2025.
Mafunzo ya watendaji wa uboreshaji yameanza leo katika Halmashauri hiyo pamoja na Halmashauri zote za mkoa wa Dar es Salaam.
Naona zoezi la uandikishaji linazidi kuwa la moto, naona waandikishaji sasa hivi washaanza kula viapo huko
Kwenye taarifa ya tume hawa waandikishaji wameapa "kutunza" siri za Ukumbi wa Halmashauri.
Sasa najiuliza hizi siri wanazotakiwa kutunza ni zipi ambazo wananchi hawatakiwi kujuq? Uchaguzi ni jambo linalotakiwa kuwa wazi, kama ni hivyo hawa waandikishaji wanatunza siri gani ambazo wananchi hatutakiwi kujua?
Au wanamaanisha taarifa za watu wanaojiandikisha?
Nadhani kuna haja ya Tume kutolea ufafanuzi wa hizo siri ambazo hawa watu wanatakiwa kutunza!
================================================
Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Mwanzo Kigamboni Ndg.Joyce Akyoo akiwaapisha watendaji ngazi ya Jimbo kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kile cha kutunza siri katika ukumbi wa Halmashauri Manispaa ya Kigamboni leo tarehe 10 Machi, 2025.
Mafunzo ya watendaji wa uboreshaji yameanza leo katika Halmashauri hiyo pamoja na Halmashauri zote za mkoa wa Dar es Salaam.