Elections 2010 Waandishi kwenye msafara wa JK walia njaa,Muhingo awanyima fedha

Elections 2010 Waandishi kwenye msafara wa JK walia njaa,Muhingo awanyima fedha

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,390
Wajamane.

kundi la waandishi wapatao 9 walipo kwenye msafara wa JK katika mikoa ya Kanda ya ziwa hali zao ni mbaya kifedha

Bw Muhingo Rweyemamu aliye na fungu la kuwapatia waandishi hao hajawapatia hii ni siku ya tatu,

Ombi kama kuna mmoja ndugu yasko yuko humo tafadhari jaribu kumtumia fedha kidogo hata kwa MPesa,ZAP nk

Leo baadhi watalala Karagwe na wegine Ngara

Saidia waandishi hao,msiwaone kuvaa mavazi ya Nembo ya JK 2010 ikiwemo not book,pen,vitambulisho ,vest nk mfukono weupe WASAIDIE JAMANI,

Nimeombwa na mmoja wao nifikishe hii message
 
Kwani ni waandishi wa vyombo gani na wamepelekwa na nani, kwani ni waajiriwa wa CCM hadi wamlilie Muhingo, Muhigo anawapa kama hisani tu wasichukulie kama ndiyo ada. Haya ndiyo mambo tusyoyataka ya kupokea mishahara na posho mbilimbili kama wabunge.
 
Sidhani kama Michuzi ana shida ya hizo hela.

Kwanza si wanapelekwa na Mwajiri wao? Sasa CCM inaanzaje hapa kutoa hela?

Nakubaliana na wanasema kuwa WAANDISHI WANAPOKEA POSHO MBILIMBILI.
 
Wajamane.

kundi la waandishi wapatao 9 walipo kwenye msafara wa JK katika mikoa ya Kanda ya ziwa hali zao ni mbaya kifedha

Bw Muhingo Rweyemamu aliye na fungu la kuwapatia waandishi hao hajawapatia hii ni siku ya tatu,

Ombi kama kuna mmoja ndugu yasko yuko humo tafadhari jaribu kumtumia fedha kidogo hata kwa MPesa,ZAP nk

Leo baadhi watalala Karagwe na wegine Ngara

Saidia waandishi hao,msiwaone kuvaa mavazi ya Nembo ya JK 2010 ikiwemo not book,pen,vitambulisho ,vest nk mfukono weupe WASAIDIE JAMANI,

Nimeombwa na mmoja wao nifikishe hii message


Nadhani kisha ziweka ndani pesa. Si unajua pale habari Corporation hawapati mishahara -- pamoja na yeye? Mnataka afanyeje!
 
Back
Top Bottom