Waandishi wa Global TV waliomhoji Msigwa walipwaya, hawakujiandaa kumhoji

Waandishi wa Global TV waliomhoji Msigwa walipwaya, hawakujiandaa kumhoji

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Fuatilieni hiyo interview hapo chini.

Watangazaji walioshiriki kipindi hiki ni mfano wa waandishi wa habari wasiojiongeza.

Na kwa bahati mbaya wamekusanyana wote wakiwa na MITIZAMO inayofanana, na hivyo kuharibu maudhui ya kipindi, na mjadala.

Mtangazaji anajiita mchambuzi wa siasa, lakini hajui taratibu za wanachama wa vyama vya siasa kukata rufaa, pale wanapoona hawajatendewa haki ktk michakato ya vyama vyao.

Mtangazaji / Mchambuzi wa Global TV anaamini kwamba mwanachama [ Msigwa] akiwa na malalamiko dhidi ya Mwenyekiti[ Mbowe ] wa chama chake hapaswi kulalamika, au kumshtaki mbele ya vikao vya chama.

Na ukifuatilia press conference ya Msigwa utamsikia anasema kwamba haamini kama Mbowe anahusika na fitina dhidi yake. Msigwa anasikika akisema anaamini wanaomhusisha Mbowe wanajaribu kumchafua.


View: https://www.youtube.com/watch?v=wvWgi8JzWUs
 
Msigwa mbona ashasema hawezi kulamba miguu ya mbowe na kama kazoea kufukuza wanomchalenji basi kwake ameyakanyaga.

Unataka kusikia unachopenda kamanda?

NB: Ukitaka clip nakuwekea hapa uoichambue
 
msigwa mbona ashasema hawezi kulamba miguu ya mbowe na kama kazoea kufukuza wanomchalenji basi kwake ameyakanyaga.

Unataka kusikia unachopenda kamanda?
NB: ukitaka clip nakuwekea hapa uoichambue
Siwezi kukubishia kwasababu unadai unao ushahidi.

Lakini nadhani na wewe umesikila clip ambayo Msigwa amesema anaamini mahasimu wake wanatumia jina la Mbowe vibaya.

Je, unadhani mchambuzi wa global tv yuko sahihi kuamini kwamba rufaa ya Msigwa imekwenda kwa Mbowe badala ya vikao vya chama vyenye dhamana ya kusikiliza malalamiko ya wanachama?
 
..siwezi kukubishia kwasababu unadai unao ushahidi.

..lakini nadhani na wewe umesikila clip ambayo Msigwa amesema anaamini mahasimu wake wanatumia jina la Mbowe vibaya...
Wana habari wana vyanzo vingi vya kuaminika, chadema lolote linawezekana kama Lowassa alikuwa mgombea urais bila kufata utaratibu wa chama
 
Wana habari wana vyanzo vingi vya kuaminika, chadema lolote linawezekana kama Lowassa alikuwa mgombea urais bila kufata utaratibu wa chama

..rufaa ya masuala ya uchaguzi inapelekwa ktk vikao vyenye maamuzi ya kushughulikia rufaa hiyo.

..mchambuzi wa global tv alipaswa kuelewa jambo hilo kabla ya kwenda live na kupotosha umma.
 
Fuatilieni hiyo interview hapo chini.

Watangazaji walioshiriki kipindi hiki ni mfano wa waandishi wa habari wasiojiongeza.

Na kwa bahati mbaya wamekusanyana wote wakiwa na MITIZAMO inayofanana, na hivyo kuharibu maudhui ya kipindi, na mjadala.

Mtangazaji anajiita mchambuzi wa siasa, lakini hajui taratibu za wanachama wa vyama vya siasa kukata rufaa, pale wanapoona hawajatendewa haki ktk michakato ya vyama vyao.

Mtangazaji / Mchambuzi wa Global TV anaamini kwamba mwanachama [ Msigwa] akiwa na malalamiko dhidi ya Mwenyekiti[ Mbowe ] wa chama chake hapaswi kulalamika, au kumshtaki mbele ya vikao vya chama.

Na ukifuatilia press conference ya Msigwa utamsikia anasema kwamba haamini kama Mbowe anahusika na fitina dhidi yake. Msigwa anasikika akisema anaamini wanaomhusisha Mbowe wanajaribu kumchafua.


View: https://www.youtube.com/watch?v=wvWgi8JzWUs

Hawa ni vilaza na makanjanja kabisa .
 
Fuatilieni hiyo interview hapo chini.

Watangazaji walioshiriki kipindi hiki ni mfano wa waandishi wa habari wasiojiongeza.

Na kwa bahati mbaya wamekusanyana wote wakiwa na MITIZAMO inayofanana, na hivyo kuharibu maudhui ya kipindi, na mjadala.

Mtangazaji anajiita mchambuzi wa siasa, lakini hajui taratibu za wanachama wa vyama vya siasa kukata rufaa, pale wanapoona hawajatendewa haki ktk michakato ya vyama vyao.

Mtangazaji / Mchambuzi wa Global TV anaamini kwamba mwanachama [ Msigwa] akiwa na malalamiko dhidi ya Mwenyekiti[ Mbowe ] wa chama chake hapaswi kulalamika, au kumshtaki mbele ya vikao vya chama.

Na ukifuatilia press conference ya Msigwa utamsikia anasema kwamba haamini kama Mbowe anahusika na fitina dhidi yake. Msigwa anasikika akisema anaamini wanaomhusisha Mbowe wanajaribu kumchafua.


View: https://www.youtube.com/watch?v=wvWgi8JzWUs

jamaa wanajaribu kuzoa maji kwenye mchanga!
 
Back
Top Bottom