Waandishi wa habari hawana picha ingine ya Karamagi?

Waandishi wa habari hawana picha ingine ya Karamagi?

Binti Maria

Senior Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
158
Reaction score
33
Kwa kweli hii picha ya huyu jamaa mimi huwa inanichefuaga sana, sasa ina maana hawa waandishi hawana picha ingine au ndio tuseme huyu jamaa ndio sura yake hii?
 

Attachments

Hahahahahahahaha umenivunja mbavu dadangu, hilo ndo best pozi la Karamagi!!
 
Kwa kweli hii picha ya huyu jamaa mimi huwa inanichefuaga sana, sasa ina maana hawa waandishi hawana picha ingine au ndio tuseme huyu jamaa ndio sura yake hii?

Nimecheka sana ikabidi nijitahidi kutafuta nyingine huenda ikawa nzuri kidogo mambo yakawa ni haya, cheki hii hapo alikuwa anatabasamu.

Karamagi.JPG
 
Anaonekana kama kwamba ameambiwa Kikwete ata mwaga.....hivoi karibuni.
 
Ile picha inayotoka nafikiri ndo wameiona iko poa zaidi, sasa ukitaka hizo zingine kazi kwako, utakimbia maana hillo sura limekaa ka jizi fulani la dhahabu.
 
Back
Top Bottom