FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Leo nilikuwa nasikiliza habari katika magazeti vichwa vya habari vilivyowekwa kwenye magazeti haya nimejikuta katika mshangao sana
Hivi huwa mnafatilia habari kwa kina kabla ya kuzitoa hewani
Majira -Zitto kujiondoa Chadema
Habari leo ..Zitto kufukuzwa Chadema
Kipi ni kipi hapo ???
Hivi huwa mnafatilia habari kwa kina kabla ya kuzitoa hewani
Majira -Zitto kujiondoa Chadema
Habari leo ..Zitto kufukuzwa Chadema
Kipi ni kipi hapo ???