waandishi wa Habari leo kumbe wanajua kucheza pachanga.......

waandishi wa Habari leo kumbe wanajua kucheza pachanga.......

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
01_11_s8umt4.jpg

Stage show dancers from the Machozi Band that provided first class musical entertainment at the function? No, they aren’t! In fact they are very much TSN employees, popularly known among co-workers as TSN’s whizz kids. They are from left; Online Editor Jiang Alipo, IT personnel Innocent Mfumu, HabariLEO Assistant News Editor Joseph Lugendo, Human Resources Officer Joyce Macha, Sales Officer Miriam Msangi and Circulation and Distribution Officer Catherine Chamungwana.
 
Wangelikuwa wanaandika habari kama wanavyojimwaga hapa serikali isingekuwa inawapa ruzuku ila wao wangelikuwa ndiyo wanaipa serikali ruzuku kupitia kodi.........................za mapato yao lukuki........................
 
Kwa zile habari zao nina mashaka na huyo News Editor nadhani ni pandikizi hilo
 
Mmeuona huo mguu lakini? Huyo wa tatu kutoka kushoto... yani we acha tu!
 
Ahaa! Kumbe wanaoandika upuuzi kwenye gazeti la HabariLeo ndio hawa!!
 
Yaani kipindi kile tuko Sekondari hiyo staili ilikuwa inaitwa "JAIVING" very interesting.... ukikosea tu, unamwangalia mwenzako mambo yanajipa!!!!!
 
mmh huyu the most left nani mbona kavaa kama mdoli.... jamani mavazi mengine na kujipodoa... hakyanani hata kama ni maiwaifu wngu utakwenda mwenyewe...
 
Back
Top Bottom