Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Hawapo huru wakifika maofisini cha kwanza ni kusaini mahudhurio ajili ya poshoVyombo vya habari vimeposti kwa wingi habari ya tuzo za wasanii kuliko kujadili habari za ndugu zao waliokamatwa.
Je, vyombo hivi vinahitaji nani aje kuwasemea? Kama wao wenyewe wanashindwa kujisemea ,nani atatetea haki na maslahi yao? Ni kweli kwamba wanaridhika na mapato yao wanayopata kupitia bahasha za Kaki?
Mitandao ya kijamii tu ndio imekuwa mkombozi wetu, kutegemea vyombo vya habari vya humu ndani kupata habari hasi kwa serekali ni jambo lisilowezekana.Vyombo vya habari vimeposti kwa wingi habari ya tuzo za wasanii kuliko kujadili habari za ndugu zao waliokamatwa.
Je, vyombo hivi vinahitaji nani aje kuwasemea? Kama wao wenyewe wanashindwa kujisemea, nani atatetea haki na maslahi yao?
Ni kweli kwamba wanaridhika na mapato yao wanayopata kupitia bahasha za Kaki?
dhihaka kwa wana taaluma si ungwana hata kidogoWaandishi wengi ni wauza ganda
huenda hawana,Vyombo vya habari vimeposti kwa wingi habari ya tuzo za wasanii kuliko kujadili habari za ndugu zao waliokamatwa.
Je, vyombo hivi vinahitaji nani aje kuwasemea? Kama wao wenyewe wanashindwa kujisemea, nani atatetea haki na maslahi yao?
Ni kweli kwamba wanaridhika na mapato yao wanayopata kupitia bahasha za Kaki?
Hawa wajinga wana la maana?dhihaka kwa wana taaluma si ungwana hata kidogo