Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA

Waandishi wa Habari waondolewa katika ukumbi wa Uchaguzi wa Baraza la Vijana CHADEMA

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katika hali isiyotarajiwa waandishi wa habari na wadau wengine wanaotajwa kutohusika moja kwa moja na uchaguzi, wameondoshwa kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kwa sasa wanaostahili kubali ni wale tu waliotajwa kuwa ni wahusika wa moja kwa moja na uchaguzi huo

Maamuzi hayo yametangazwa na Msimamizi wa uchaguzi huo Salum Mwalimu mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa unaoendelea sasa (leo, Jumatatu Januari 13.2024) kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam

Salum Mwalimu ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar amesema kuwa kwa sasa wanaohitajika kubaki ukumbini hapo ni wagombea, wapiga kura ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa, wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo wakiongozwa na Prof. Azaveli Lwaitama, maafisa wa chama wanaofanya kazi maalum kama vile kuchapisha nakala mbalimbali, pamoja na wale wanaohusika na ulinzi ambao nao pia amesema itafika wakati wataondolewa.

Soma Pia: Japo baadhi wanampinga sana tajiri Mbowe, Wajumbe wa Baraza Kuu BAVICHA walia kutolipwa posho zao

Amesema Waandishi wa habari wataruhusiwa kurudi ukumbini hapo wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya jumla, lakini kwa sasa shughuli zote zinazoendelea ukumbini hapo kama vile kujinadi kwa wagombea, upigaji wa kura na uhesabuji wa kura hazitaonekana na wanahabari, ingawa amebainisha kuwa zoezi la upigaji na uhesabuji wa kura litakuwa la wazi na kufanyika huku wajumbe wote wa mkutano mkuu wakishuhudia

"Waandishi wa habari mtupishe tutawaita wakati wa kutangaza matokeo, sasa hivi humu ndani wabakie wagombea, wapiga kura, wasimamizi wa uchaguzi na walinzi na hata wenyewe pia baadaye nitawatoa tubaki sisi tu" -Mwalimu

Awali mkutano huo ulianza kwa kufunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, ambapo pia ilishuhudiwa viongozi mbalimbali waalikwa kutoka ndani na nje ya chama hicho wakitoa salamu zao kwa wajumbe wa mkutano, ambapo imeshuhudiwa Tundu Lissu, John Heche, Odero Charles Odero, Abdul Nondo na wengineo wakitoa salamu, huku Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anayemaliza muda wake John Pambalu naye akishuhudiwa akitoa hotuba ya kuaga...
 
Je, chaguzi za nyuma walikuwa wanafanya hivi?

Halafu kama uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa utakuwa live kama alivyoahidi Mwamba, iweje huu wa BAVICHA ufanyike gizani?

Au Mwamba sikumuelewa?
 
Ccm wanakuwa live, wao wanataka kuficha nini?

Ccm kumpitisha mwenyekiti wanakuwa live, kumpitisha makamu wanakuwa live.

Uchaguzi wa Bavicha wanaficha wanataka kufanya nini?

Wao wanaficha kuna nini?
 
Je, chaguzi za nyuma walikuwa wanafanya hivi?

Halafu kama uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa utakuwa live kama alivyoahidi Mwamba, iweje huu wa BAVICHA ufanyike gizani?

Au Mwamba sikumuelewa?
Mkuu, hicho chama wameshaamua kukiuwa.

Kama kuguna wanakataza kuongea watakuruhusu?

Uchaguzi mdogo wa Bavicha mambo yapo hivi huo uchaguzi wa Mwenyekiti unadhani utakuwa wa wazi?
 
CHADEMA wanaficha nini kwenye huo uchaguzi ambao sidhani hata una wajumbe wanaofikia 1000?
Mimi nilitegemea uchaguzi uwe live, badala yake unafichwa fichwa sana.
Chadema ya akili hizi imejaa ujinga na upumbavu mkubwa.
 
Na; mwandishi wetu

Katika hali isiyotarajiwa waandishi wa habari na wadau wengine wanaotajwa kutohusika moja kwa moja na uchaguzi, wameondoshwa kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa @bavicha_taifa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kwa sasa wanaostahili kubali ni wale tu waliotajwa kuwa ni wahusika wa moja kwa moja na uchaguzi huo

Maamuzi hayo yametangazwa na Msimamizi wa uchaguzi huo Salum Mwalimu mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa unaoendelea sasa (leo, Jumatatu Januari 13.2024) kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam

Salum Mwalimu ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar amesema kuwa kwa sasa wanaohitajika kubaki ukumbini hapo ni wagombea, wapiga kura ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa, wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo wakiongozwa na Prof. Azaveli Lwaitama, maafisa wa chama wanaofanya kazi maalum kama vile kuchapisha nakala mbalimbali, pamoja na wale wanaohusika na ulinzi ambao nao pia amesema itafika wakati wataondolewa

Amesema Waandishi wa habari wataruhusiwa kurudi ukumbini hapo wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya jumla, lakini kwa sasa shughuli zote zinazoendelea ukumbini hapo kama vile kujinadi kwa wagombea, upigaji wa kura na uhesabuji wa kura hazitaonekana na wanahabari, ingawa amebainisha kuwa zoezi la upigaji na uhesabuji wa kura litakuwa la wazi na kufanyika huku wajumbe wote wa mkutano mkuu wakishuhudia

"Waandishi wa habari mtupishe tutawaita wakati wa kutangaza matokeo, sasa hivi humu ndani wabakie wagombea, wapiga kura, wasimamizi wa uchaguzi na walinzi na hata wenyewe pia baadaye nitawatoa tubaki sisi tu" -Mwalimu

Awali mkutano huo ulianza kwa kufunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, ambapo pia ilishuhudiwa viongozi mbalimbali waalikwa kutoka ndani na nje ya chama hicho wakitoa salamu zao kwa wajumbe wa mkutano, ambapo imeshuhudiwa Tundu Lissu, John Heche, Odero Charles Odero, Abdul Nondo na wengineo wakitoa salamu, huku Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anayemaliza muda wake John Pambalu naye akishuhudiwa akitoa hotuba ya kuaga

Matukio hayo yote yalirushwa mubashara na vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo Jambo TV, baada ya ufunguzi wa mkutano huo wageni waalikwa waliondoka ukumbini wakisindikizwa na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anayemaliza muda wake John Pambalu huku wakimuacha Makamu Mwenyekiti BAVICHA Tanzania Bara anayemaliza muda wake Moza Ally akiongoza mkutano huo

Hata hivyo baada ya Moza kukalia kiti hicho mkutano huo haukujadili ajenda zilizokusudiwa kama ilivyotarajiwa, badala yake iliibuliwa hoja na mmoja wa wajumbe ya kudai posho zao kwani ndani ya siku tatu zote walizokuwepo jijini Dar es Salaam hawajapata stahiki zao kama walivyoahidiwa hivyo kueleza kuwa hawako tayari kuendelea na mkutano hadi wapate mustakabali wa posho zao

Baada ya mvutano wa dakika kadhaa baina ya wajumbe wa mkutano na viongozi walioko mezani akiwemo Katibu Mkuu wa BAVICHA hatimaye wakakubaliana kuwa wajumbe waende kwenye chakula kilichoandaliwa kwa ajili yao kisha wakirejea watapata majibu kuhusu posho zao, lakini baada ya wajumbe kupata chakula waliporejea ukumbini ndipo tangazo la kufukuzwa kwa Waandishi wa habari na wengine walioonekana si wahusika lilipotoka

Ikumbukwe kuwa, chama hicho kiliahidi kwamba chaguzi zake zote zitakuwa huru na za uwazi kuanzia mwanzo hadi mwisho wakati wa kutangazwa kwa matokeo, jambo ambalo kwa sasa linaonekana kutotekelezwa kwenye mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa.

Source , JamboTv
 
Katika hali isiyotarajiwa waandishi wa habari na wadau wengine wanaotajwa kutohusika moja kwa moja na uchaguzi, wameondoshwa kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kwa sasa wanaostahili kubali ni wale tu waliotajwa kuwa ni wahusika wa moja kwa moja na uchaguzi huo

Maamuzi hayo yametangazwa na Msimamizi wa uchaguzi huo Salum Mwalimu mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa unaoendelea sasa (leo, Jumatatu Januari 13.2024) kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam

Salum Mwalimu ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar amesema kuwa kwa sasa wanaohitajika kubaki ukumbini hapo ni wagombea, wapiga kura ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa, wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo wakiongozwa na Prof. Azaveli Lwaitama, maafisa wa chama wanaofanya kazi maalum kama vile kuchapisha nakala mbalimbali, pamoja na wale wanaohusika na ulinzi ambao nao pia amesema itafika wakati wataondolewa.

Soma Pia: Japo baadhi wanampinga sana tajiri Mbowe, Wajumbe wa Baraza Kuu BAVICHA walia kutolipwa posho zao

Amesema Waandishi wa habari wataruhusiwa kurudi ukumbini hapo wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya jumla, lakini kwa sasa shughuli zote zinazoendelea ukumbini hapo kama vile kujinadi kwa wagombea, upigaji wa kura na uhesabuji wa kura hazitaonekana na wanahabari, ingawa amebainisha kuwa zoezi la upigaji na uhesabuji wa kura litakuwa la wazi na kufanyika huku wajumbe wote wa mkutano mkuu wakishuhudia

"Waandishi wa habari mtupishe tutawaita wakati wa kutangaza matokeo, sasa hivi humu ndani wabakie wagombea, wapiga kura, wasimamizi wa uchaguzi na walinzi na hata wenyewe pia baadaye nitawatoa tubaki sisi tu" -Mwalimu

Awali mkutano huo ulianza kwa kufunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, ambapo pia ilishuhudiwa viongozi mbalimbali waalikwa kutoka ndani na nje ya chama hicho wakitoa salamu zao kwa wajumbe wa mkutano, ambapo imeshuhudiwa Tundu Lissu, John Heche, Odero Charles Odero, Abdul Nondo na wengineo wakitoa salamu, huku Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anayemaliza muda wake John Pambalu naye akishuhudiwa akitoa hotuba ya kuaga...
Jamaa wametengeza mazingira ya kuvutia watu kufuatilia kwa shauku chama chao, nahisi kila wanachokifanya ni makusudi huku behind the curtains they're wining and dining together. Issues zao kwa sasa zinafuatiliwa kwa shauku zaidi hata ya matukio ya kiserikali.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
CHADEMA wanaficha nini kwenye huo uchaguzi ambao sidhani hata una wajumbe wanaofikia 1000?
Mimi nilitegemea uchaguzi uwe live, badala yake unafichwa fichwa sana.
Chadema ya akili hizi imejaa ujinga na upumbavu mkubwa.
Ukurasa wa Jambo TV unaripoti hivi:

Hata hivyo baada ya Moza kukalia kiti hicho mkutano huo haukujadili ajenda zilizokusudiwa kama ilivyotarajiwa, badala yake iliibuliwa hoja na mmoja wa wajumbe ya kudai posho zao kwani ndani ya siku tatu zote walizokuwepo jijini Dar es Salaam hawajapata stahiki zao kama walivyoahidiwa hivyo kueleza kuwa hawako tayari kuendelea na mkutano hadi wapate mustakabali wa posho zao

Baada ya mvutano wa dakika kadhaa baina ya wajumbe wa mkutano na viongozi walioko mezani akiwemo Katibu Mkuu wa BAVICHA hatimaye wakakubaliana kuwa wajumbe waende kwenye chakula kilichoandaliwa kwa ajili yao kisha wakirejea watapata majibu kuhusu posho zao, lakini baada ya wajumbe kupata chakula waliporejea ukumbini ndipo tangazo la kufukuzwa kwa Waandishi wa habari na wengine walioonekana si wahusika lilipotoka.
------------------------
Wanataka kuwatisha vijana? Kwa sababu hali ya namna hiyo ilishawahi kutokea na vijana wao waliwatia makofi kweli.

Hii aliniambia jamaa yangu ambaye yupo Bavicha. Ilitokea Mlimani City pale!
 
Je, chaguzi za nyuma walikuwa wanafanya hivi?

Halafu kama uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa utakuwa live kama alivyoahidi Mwamba, iweje huu wa BAVICHA ufanyike gizani?

Au Mwamba sikumuelewa?
Bavicha bado watoto, watataka wajipige self kwenye TV za watu zikiwa live has timu lissu
 
Katika hali isiyotarajiwa waandishi wa habari na wadau wengine wanaotajwa kutohusika moja kwa moja na uchaguzi, wameondoshwa kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kwa sasa wanaostahili kubali ni wale tu waliotajwa kuwa ni wahusika wa moja kwa moja na uchaguzi huo

Maamuzi hayo yametangazwa na Msimamizi wa uchaguzi huo Salum Mwalimu mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa unaoendelea sasa (leo, Jumatatu Januari 13.2024) kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam

Salum Mwalimu ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar amesema kuwa kwa sasa wanaohitajika kubaki ukumbini hapo ni wagombea, wapiga kura ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa, wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo wakiongozwa na Prof. Azaveli Lwaitama, maafisa wa chama wanaofanya kazi maalum kama vile kuchapisha nakala mbalimbali, pamoja na wale wanaohusika na ulinzi ambao nao pia amesema itafika wakati wataondolewa.

Soma Pia: Japo baadhi wanampinga sana tajiri Mbowe, Wajumbe wa Baraza Kuu BAVICHA walia kutolipwa posho zao

Amesema Waandishi wa habari wataruhusiwa kurudi ukumbini hapo wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya jumla, lakini kwa sasa shughuli zote zinazoendelea ukumbini hapo kama vile kujinadi kwa wagombea, upigaji wa kura na uhesabuji wa kura hazitaonekana na wanahabari, ingawa amebainisha kuwa zoezi la upigaji na uhesabuji wa kura litakuwa la wazi na kufanyika huku wajumbe wote wa mkutano mkuu wakishuhudia

"Waandishi wa habari mtupishe tutawaita wakati wa kutangaza matokeo, sasa hivi humu ndani wabakie wagombea, wapiga kura, wasimamizi wa uchaguzi na walinzi na hata wenyewe pia baadaye nitawatoa tubaki sisi tu" -Mwalimu

Awali mkutano huo ulianza kwa kufunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, ambapo pia ilishuhudiwa viongozi mbalimbali waalikwa kutoka ndani na nje ya chama hicho wakitoa salamu zao kwa wajumbe wa mkutano, ambapo imeshuhudiwa Tundu Lissu, John Heche, Odero Charles Odero, Abdul Nondo na wengineo wakitoa salamu, huku Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anayemaliza muda wake John Pambalu naye akishuhudiwa akitoa hotuba ya kuaga...

View: https://x.com/MwananchiNews/status/1878804477098315891?t=AhsIKdQtM2jsREegsPIvwQ&s=19
 
Ccm wanakuwa live, wao wanataka kuficha nini?

Ccm kumpitisha mwenyekiti wanakuwa live, kumpitisha makamu wanakuwa live.

Uchaguzi wa Bavicha wanaficha wanataka kufanya nini?

Wao wanaficha kuna nini?
Ni kweli CCM huwa ni live ila tofauti ni kwamba CCM huwa si uchaguzi bali ni rubber stamping na secondly yafanywayo CCM si standard unit ya namna ya ufanyaji wa uchaguzi otherwise walipaswa kuwaiga kuanzia kuwa na mgombea mmoja tu kwenye nafasi muhimu kama ya mwenyekiti balada ya kuwa na wagombea zaidi ya mmoja kama walivyofanya hao wa CHADEMA.
 
Katika hali isiyotarajiwa waandishi wa habari na wadau wengine wanaotajwa kutohusika moja kwa moja na uchaguzi, wameondoshwa kwenye ukumbi wa uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Taifa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa kwa sasa wanaostahili kubali ni wale tu waliotajwa kuwa ni wahusika wa moja kwa moja na uchaguzi huo

Maamuzi hayo yametangazwa na Msimamizi wa uchaguzi huo Salum Mwalimu mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa unaoendelea sasa (leo, Jumatatu Januari 13.2024) kwenye ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam

Salum Mwalimu ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar amesema kuwa kwa sasa wanaohitajika kubaki ukumbini hapo ni wagombea, wapiga kura ambao ni wajumbe wa mkutano mkuu wa BAVICHA Taifa, wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo wakiongozwa na Prof. Azaveli Lwaitama, maafisa wa chama wanaofanya kazi maalum kama vile kuchapisha nakala mbalimbali, pamoja na wale wanaohusika na ulinzi ambao nao pia amesema itafika wakati wataondolewa.

Soma Pia: Japo baadhi wanampinga sana tajiri Mbowe, Wajumbe wa Baraza Kuu BAVICHA walia kutolipwa posho zao

Amesema Waandishi wa habari wataruhusiwa kurudi ukumbini hapo wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya jumla, lakini kwa sasa shughuli zote zinazoendelea ukumbini hapo kama vile kujinadi kwa wagombea, upigaji wa kura na uhesabuji wa kura hazitaonekana na wanahabari, ingawa amebainisha kuwa zoezi la upigaji na uhesabuji wa kura litakuwa la wazi na kufanyika huku wajumbe wote wa mkutano mkuu wakishuhudia

"Waandishi wa habari mtupishe tutawaita wakati wa kutangaza matokeo, sasa hivi humu ndani wabakie wagombea, wapiga kura, wasimamizi wa uchaguzi na walinzi na hata wenyewe pia baadaye nitawatoa tubaki sisi tu" -Mwalimu

Awali mkutano huo ulianza kwa kufunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, ambapo pia ilishuhudiwa viongozi mbalimbali waalikwa kutoka ndani na nje ya chama hicho wakitoa salamu zao kwa wajumbe wa mkutano, ambapo imeshuhudiwa Tundu Lissu, John Heche, Odero Charles Odero, Abdul Nondo na wengineo wakitoa salamu, huku Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa anayemaliza muda wake John Pambalu naye akishuhudiwa akitoa hotuba ya kuaga...
Chama tawala cha kuwa na jina Moja mfukoni,kutumia muda,fedha kwenda kulichagua jina Hilo Moja!!
Hii ni aibu ya Karne .

Wasomi wamo,ila hawaoni aibu,Bora washike Dola🥺🥺
 

Attachments

  • VID-20250113-WA0024.mp4
    9.3 MB
  • VID-20250113-WA0022.mp4
    13.3 MB
Je, chaguzi za nyuma walikuwa wanafanya hivi?

Halafu kama uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama Taifa utakuwa live kama alivyoahidi Mwamba, iweje huu wa BAVICHA ufanyike gizani?

Au Mwamba sikumuelewa?
Tulia dawa ikuingie, sogeza kalio nichome sindano
 
Nimeamini Mbowe atambwaga Lisu, maana anazifahamu figisu.
 
CHADEMA wanaficha nini kwenye huo uchaguzi ambao sidhani hata una wajumbe wanaofikia 1000?
Mimi nilitegemea uchaguzi uwe live, badala yake unafichwa fichwa sana.
Chadema ya akili hizi imejaa ujinga na upumbavu mkubwa.
Sasa uchaguzi haukuhusu unautaka uuone ili iweje?waachie waamue Mambo yao wenyewe
 
Back
Top Bottom