Waandishi wamepotosha kuhusu Donald Ngoma?

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
HNdugu waandishi wamepotosha sana kuhusu goli la yanga,nimeangalia mechi kupitia super sport ,donald ngoma alikuwa anatoa cross kwa msuva mbali kabisa ya goli ndipo beki wa timu pinzani alipou_reflect mpila kimakosa na kusababisha kuelekea golini kwao na kumfunga kipa wao,kwa hiyo lile ni goli la kujifunga(own goal).......pia kadi nyekundu aliyoipata ni kwa kumsukuma beki wa gormahia akiwa hana mpira na sio kumpiga ngumi...
Rai yangu kwa ndugu waandishi na watangazaju wa bongo muwe mnarepoti ukweli wa kile kilichotokea uwanjani..nchi za wenzetu waandishi wanalipa viingilio nyie mnaingia bure alafu mnatoa taarifa fake ...ni mimi shabiki wa yanga nisiyetaka kudanhanywa
 
wawe wanaangalia playback pale penye utata
 

hivi tanzania una waandishi wa habari au una wapiga soga wa habari za umbea tu? waandishi wa habari wapo cnn, bbc, skynews, sabc, dw, i24 na aljazeera.
 
Kuna matukio yanatokeaga ghafla mno unaweza ujue vizuri kilichotokea

Haikuwa ya ghafla ngoma alikwa peke yake mbali kabisa na goli,aliyejifunga naye alikiwa na msuva tu,haikuwa confusing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…