Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Vibaraka wa kuonesha justification ya udhalimu umefanyika wanaendelea na kazi yao. Watu watatu chama kimoja wamepoteza maisha afu mnajifanya vipofu mambo yalikuwa shwari?
=====
Mkurugenzi wa Shirika la Tanzania Pastoralist Community Forum (TPCF) Joseph Palisambei amesema Shirika hilo lilipewa kibali cha kufuatilia mwenendo wa Uchaguzi, ambapo wamebaini kuwa kanuni na Sheria zilizingatiwa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchakato huo.
Vibaraka wa kuonesha justification ya udhalimu umefanyika wanaendelea na kazi yao. Watu watatu chama kimoja wamepoteza maisha afu mnajifanya vipofu mambo yalikuwa shwari?
=====
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024Mkurugenzi wa Shirika la Tanzania Pastoralist Community Forum (TPCF) Joseph Palisambei amesema Shirika hilo lilipewa kibali cha kufuatilia mwenendo wa Uchaguzi, ambapo wamebaini kuwa kanuni na Sheria zilizingatiwa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchakato huo.