Vibaraka wa kuonesha justification ya udhalimu umefanyika wanaendelea na kazi yao. Watu watatu chama kimoja wamepoteza maisha afu mnajifanya vipofu mambo yalikuwa shwari?
Mkurugenzi wa Shirika la Tanzania Pastoralist Community Forum (TPCF) Joseph Palisambei amesema Shirika hilo lilipewa kibali cha kufuatilia mwenendo wa Uchaguzi, ambapo wamebaini kuwa kanuni na Sheria zilizingatiwa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchakato huo.
Ni kweli, na wale viongozi CHADEMA watatu waliokufa walijiua, kule ambako karatasi zilichelewa mpaka wakapiga kura kwa karatasi za kawaida nako ni sababu ya CHADEMA, ACT na wengine, mabox ya kura feki nako ni ACT, CHADEMA na wengine... etc
Vibaraka wa kuonesha justification ya udhalimu umefanyika wanaendelea na kazi yao. Watu watatu chama kimoja wamepoteza maisha afu mnajifanya vipofu mambo yalikuwa shwari?
Mkurugenzi wa Shirika la Tanzania Pastoralist Community Forum (TPCF) Joseph Palisambei amesema Shirika hilo lilipewa kibali cha kufuatilia mwenendo wa Uchaguzi, ambapo wamebaini kuwa kanuni na Sheria zilizingatiwa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchakato huo.
Vibaraka wa kuonesha justification ya udhalimu umefanyika wanaendelea na kazi yao. Watu watatu chama kimoja wamepoteza maisha afu mnajifanya vipofu mambo yalikuwa shwari?
Mkurugenzi wa Shirika la Tanzania Pastoralist Community Forum (TPCF) Joseph Palisambei amesema Shirika hilo lilipewa kibali cha kufuatilia mwenendo wa Uchaguzi, ambapo wamebaini kuwa kanuni na Sheria zilizingatiwa kuanzia mwanzo hadi mwisho wa mchakato huo.