Mkuu walikuwa zaidi sana ya KILO!...Nilikuwapo kati ya makundi ya hao watu, mi nakadiria watu laki3!
Kwakweli wasingemtangaza Lema, mngesikia calamity ya ajabu mno A-Town!...Labda nikwambie kwamba tayari kulikiwa na vidumu kibao vya petrolikwenye kila bodaboda, na sime za hatari!...BOT(Arusha Branch) ingekuwa ya kwanza kupigwa kiberiti, then oFISI YA RC, then manispaa, mount meru hosp, Central Police na taasisi zinGinezo zote za serikali!
Kwakweli serikali ya ccm ndiyo muanzishaji mkuu wa vurugu na UMWAGAJI DAMU!