Waasi wa Belarus wajiunga kwenye mapambano dhidi ya Urusi

Waasi wa Belarus wajiunga kwenye mapambano dhidi ya Urusi

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.

 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.

Wewe Kenya land umenyanyaswa kwa lipi hasa na Urusi?

Hivi USA na EU walichukua bongo zenu na kuacha mitungi ya kubebea meno tu au mnajiona mna akili timamu kisawa sawa sababu mnaongea hiyo lugha ya wakoloni UK[emoji848][emoji34]
 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.

We jidanganye tu
 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.


Urusi imeshindwa kutimiza malengo yake huko Ukraine.

Huu ni mwanzo wa anguko la kisiasa la Mzee Putin.
 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.

Hao wachache Tu?
 
Wakenya hii Vita inawapa tumbo joto,maana baba yao USA akibugi akajiingiza ,halafu Putin akaamua kumpiga na kitu kizito Cha supersonic bomb,wakenya watakufa njaa hakiyanani,maana maisha Yao [emoji817] wanamuangalia marekani
 
Wakenya hii Vita inawapa tumbo joto,maana baba yao USA akibugi akajiingiza ,halafu Putin akaamua kumpiga na kitu kizito Cha supersonic bomb,wakenya watakufa njaa hakiyanani,maana maisha Yao [emoji817] wanamuangalia marekani
Hivi mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho? Hivi unaamini Urusi anaweza akarusha Bomu nchini Marekani kabisa likaua watu na Miji ya Urusi ikabaki Salama? Hata Marekani hawezi kuishambulia Miji ya Urusi moja kwa moja. Tumieni Akili Zenu Kidogo.

Urusi ina Makombora ya Nyuklia zaidi ya 7,500,Kati ya hayo 2,500 yako tayari kurushwa kokote kule Duniani na kufika kwenye Target ndani ya Dakika 30 na kuangamiza kila Kitu,Kama ni Marekani Basi Marekani yote inageuka Majivu.

Vilevile,Marekani ina Makombora ya Nyuklia zaidi ya ya 6,500,Kati ya hayo,1,900 yako tayari kurushwa na kufika kokote kule Duniani ndani ya Dakika 30 na kuangamiza kila Kitu,Kama yataelekea Urusi basi hakutakuwa na Urusi baada ya Nusu Saa.

Sasa tujiulize,Nani Rais wa nchi Kati ya Putin au Biden yuko tayari kuanzia hiyo AFTER MASS?

Vita vya Urusi na Marekani au na China vinabaki kuwa PROXY WAR. Na kwenye Proxy War tayari Marekani kashamzidi Urusi. Marekani alikubali kushindwa Venezuela ili Kuzuia Vita kwenye Rasi ya Amerika kwasababu ingeliharibu Uchumi wake na hata Usalama japo wengi tukasema eti kaiogopa T-160 ya Urusi. Sasa Urusi yeye kaingia kwenye DESTABILIZATION STRATEGY Ya Marekani kwa kuanzisha Vita Mlangoni kwake. Kama Ukraine itageuka kuwa Syria au Afghanistan Basi hasara kubwa iko kwa majirani zake,Marekani Yuko mbali Sana.
 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.


Bado Cremea siandiki humu nisimwage mtama kwenye kuku wengi
 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.


Waje tuwagonge wao na magorofa yao
 
Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.

Wakenya mnajikuta sana, habar ya San Fransisco
 
Urusi ni mwepesi sana, alikuwa anapewa sifa za Bure tu, hata sisi na JWTZ yetu Urusi tunamtandika vizuri mno, tutakachohitaji ni msaada wa pesa na taarifa za intelligence tu kutoka kwa jasusi mkuu United States.
 
Back
Top Bottom