Wewe Kenya land umenyanyaswa kwa lipi hasa na Urusi?Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.
We jidanganye tuWasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.
Urusi imeshindwa kutimiza malengo yake huko Ukraine.Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.
Hivi kweli unapoteza mudà wako kuongea huu utumbo?Urusi imeshindwa kutimiza malengo yake huko Ukraine.
Huu ni mwanzo wa anguko la kisiasa la Mzee Putin.
Hao wachache Tu?Wasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.
Hivi mbona mnakuwa wajinga kiasi hicho? Hivi unaamini Urusi anaweza akarusha Bomu nchini Marekani kabisa likaua watu na Miji ya Urusi ikabaki Salama? Hata Marekani hawezi kuishambulia Miji ya Urusi moja kwa moja. Tumieni Akili Zenu Kidogo.Wakenya hii Vita inawapa tumbo joto,maana baba yao USA akibugi akajiingiza ,halafu Putin akaamua kumpiga na kitu kizito Cha supersonic bomb,wakenya watakufa njaa hakiyanani,maana maisha Yao [emoji817] wanamuangalia marekani
Bado Cremea siandiki humu nisimwage mtama kwenye kuku wengiWasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.
Waje tuwagonge wao na magorofa yaoWasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.
Hao ni sample BwasheHao wachache Tu?
Wakenya mnajikuta sana, habar ya San FransiscoWasema imefikia wakati wa Belarus kujiokoa kutoka kwenye mikono ya Mrusi, waelekea Ukraine kufanya yao huko, na hii itasababisha vitaifa vyote ambavyo vimekua vikinyanyaswa na Urusi kujiunga pia kwenye haya mapambano. Huu ndio muda muafaka wa Mrusi kufumwa mkuki maana tayari kalegea na kuonyesha udhaifu wake, asipewe fursa ya kunyanyuka, apigwe tu huko chini chini.