maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi kwanini watu wakishajua wameathirika na ukimwi wananjifanya wanafanya mazoezi sana
yaani huwa nakereka sana asubuhi nikikutana na watu Ninaojua wameathirika afu wanajifanya wanafanya mazoezi
yaani wengine wanaboa unakuta hakina nyama kipo kipo tuuh afu kinajitia kinafanya mazoezi
umekuja kunikera na huku yaani we lijamaa sijui vipmungu akusamee kaka yagu hujuyi husemalo.
na we nahisi miongoni waoUtakuwa unawaonea wivu kwa kuathirika kwao
tatizo nn mkuu? speak outWw kweli maji ya Gundu
hujaeleweka mkuuNakushauri tafuta mtu au watu wakusaidie kabla hali haijawa mbaya zaidi.
kama mpimaji wa akili ni wewe basi ata kama nna akili timamu itaonekana imeathirikaDah mkuu wewe unaonekana umeathirika akili
unacheka msibani Mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halmashauri yako ya ubungo ina hitilafu. nenda kwenye matengenezo ASAP.hujaeleweka mkuu
bado hujaeleweka mkuuHalmashauri yako ya ubungo ina hitilafu. nenda kwenye matengenezo ASAP.
Huwezi kuelewa hadi pale utakapokuwa soberbado hujaeleweka mkuu
nimegundua una akili za kitotoHuwezi kuelewa hadi pale utakapokuwa sober