maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
- Thread starter
-
- #21
wananikera huwa wanavaaga kichokoziKwan wakifanya mazoezi ww unapungukiwa nn?? Unataka wafe au
uvaaji waoInawezekana ikawa unahitaji kuelimishwa.
Kwa nini unakereka wakifanya mazoezi?
ngoja niwaachie
Kwan ukafunga macho usione walivyovaa au ukapishana nao halafu ukavunga utakufa?wananikera huwa wanavaaga kichokozi
yaani wanikoseshe uhuru wa kutizama kisha udwanzi waoKwan ukafunga macho usione walivyovaa au ukapishana nao halafu ukavunga utakufa?
hahaha koo na wao huwa wanahisi mazoezi yanasaidia?usicheze na kifo mkuu......kila utakachoambiwa kula utakula
Kama unatambua kila mtu ana uhuru na haki ya kufanya kitu anapenda kama mazoezi ya mwili yann uje kulalamika humu jf??yaani wanikoseshe uhuru wa kutizama kisha udwanzi wao
na we wale wale hivi ukifikiria kwanza ndo ukauliza au umejikuta tu umeuliza?
Ndio hivyo,wengine huwa wanachanganyikiwa;haya mambo si ya mzaha yasikie tu kwa mbali.hahaha koo na wao huwa wanahisi mazoezi yanasaidia?
pole kwa kuto elewaKama unatambua kila mtu ana uhuru na haki ya kufanya kitu anapenda kama mazoezi ya mwili yann uje kulalamika humu jf??
pole kwa kuto elewaKama unatambua kila mtu ana uhuru na haki ya kufanya kitu anapenda kama mazoezi ya mwili yann uje kulalamika humu jf??
afu %60 ya wanaofanya mazoezi wameathirikaMkuu Hakuna anayependa
unaenda nyegezi mkuu?Ntarud
Okay mkuupole kwa kuto elewa
jifunze kuchangia hoja kitu ukichoelewa
Lips 😊Unahitaji matibabu
Imefanyaje mkuuLips [emoji4]
pole mkuuLips [emoji4]