hehehe kamanda unataka kudivide and rule nini? eniwei hili sredi jinsi lilivyonikosha staki hata niende ofu topik acha niishie hapa. yaani sredi limenipa mzuka wa kulibembeleza jimama flani (jina kapuni)
dah! kamanda unaenda ofutopik. halaf mbona michelle haukumtaja? ubaguzi huo kamandaRafiki nikwambie kitu ? your spreading yourself too thin to have an impact, we amua kama ni Hus,Keren au .. halafu jenga kambi hapo,hivi watakuona sharobaro flani lol!
Sorry Liz,let me not spoil the party, my lips are zipped.Gosh Uporoto!!!Why are sooo cold???I thought we were friends!!!:A S 13:
Si unaona thats my point kuna majina mawili unaulizia la tatu.dah! kamanda unaenda ofutopik. halaf mbona michelle haukumtaja? ubaguzi huo kamanda
Kweli kabisa babu!!!
Nawe ubarikiwe pia!!!
Habari ya asubuhi natumaini mzima wa afya utakuta message yako kuleAhsante kwa kuusemea moyo wangu. Mimi nilikuwa naona aibu kuwaambia kama nawapenda... Ha ha ha!
Mimi penda wao wote.
Habari ya asubuhi natumaini mzima wa afya utakuta message yako kule