Wababe wa AS Otoho d’Oyo waukodolea macho uwanja wa Chamazi

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Kutokana na hali kutokuwa shwari nchini Sudan kuna uwezekano mkubwa kwa timu ya AL Merrikh kutafuta Uwanja nje ya Sudan watakaoutumia kama wa nyumbani dhidi ya Yanga.

Na hii inaweza kuwaongoza moja kwa moja ndani ya Uwanja wa Chamazi ulioko Dar es Salaam Tanzania.

Uwezekano ni mkubwa kwa kuwa Uwanja wa Chamazi una facilities zote hitajika kwa timu na ni moja ya Viwanja bora sana Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati.

Ikumbukwe kuwa Uwanja huu pia unatumiwa na Mabingwa wa Tanzania timu ya soka ya Yanga kama Uwanja wake wa nyumbani kunako michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 
Hawawezi fanya huo utopolo. El merreikh ni washindani na wana hela ya kuwaacomodate yanga popote Afrika.

Timu inayoopt kucheza na yanga mechi zote ni masikini jamii ya zalan na hao wajibuti ambao kwao wameopt kusave cost na kuwapa unafuu

Wasudani ni rahisi kwao kuipeleka yanga Ethiopia au Egypt kuliko kuja Tanzan kwa mechi zote mbili
 
Wanatumia uwanja wa Huye stadium ulioko nchini Rwanda, na kama unavyojua yanga pale Rwanda ni kama wapo kwa mkapa tu wacha inyeshe tuone panapovuja
 
Wanatumia uwanja wa Huye stadium ulioko nchini Rwanda, na kama unavyojua yanga pale Rwanda ni kama wapo kwa mkapa tu wacha inyeshe tuone panapovuja
Mwisho wa yanga ni kwa almerreik
 
Mechi zote mbili kivipi ndgu?? Mechi moja tu ndo anaamua aichezee wapi as home ground.
 
ZAlan na hawa wajibuti mechi zote mbili si wamecheza tz? Namaanisha ya home and away boss
Ndo haiwezekani hao wasudani kupeleka mechi zote mbili huko nchi za watu maana Yanga ana uwanja.
Kwahiyo Yanga akiwa home watakipiga chamazi wakiwa away ndo wataenda huko hao wasudani walikokodi uwanja.
 
Wanatumia uwanja wa Butare huko Rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…