Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
What’s that?Dantan hao bwashee!
Roho mbaya ni sumu kwako mwenyewe.Unajikomoa mwenyewe,unaemsema vibaya hayupo tena katika dunia hii,pambana na hali yako mkuu.Walimlilia Magufuli hivi walikuwa wanamfahamu huyu babu hawa?? yaani walitoa machozi yao kumlilia kabisaaaa??
Kwa kumuenzi wakawekeze Chato.Hawa ndugu zetu wa huko Denmark, yaani wabeba maboksi wa huko, siku ya mazishi ya hayati Rais Magufuli, waliacha kufanya kila kitu na kufuatilia kwa umakini sana shughuli za mazishi za mpendwa...
Unazungumzia wala vumbi wewe...Hawajui hapa wabeba boksi wenzao wengi hawana ajira kwa sababu ya Magu
Tulia wewe Mjane mwaka huu lazima myookeWhat’s that?
Dogo ulisusa jamvini. Jiwe kaondoka naona umerudi.Kwa kumuenzi wakawekeze Chato.
Viwanda vimefungwaUnazungumzia wala vumbi wewe...
Mkuu naona ni zamu yenu kufaidi Hongereni. Sisi wagalatia tunawwangalia tu.Mkuu nyani, hao sio mashabiki wa yanga kweli?
Mkuu huyu huwa anakuwepo hapa kidini zaidi sasa hivi ni zamu la wasukuma kukimbia jamviDogo ulisusa jamvini. Jiwe kaondoka naona umerudi.
Unaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.Dogo ulisusa jamvini. Jiwe kaondoka naona umerudi.
Mkuu naona ni wakati wa juzuu umefika umetoka mafichoni ulikojificha kwa miaka mitano na miezi minneUnaniita dogo mimi daah ebu kaa chini na Bi mkuwa wako muulize vizuri Ritz ni nani yangu.
Mkuu naona ni zamu yenu kufaidi Hongereni. Sisi wagalatia tunawwangalia tu.