Wabeba maboksi wa Ulaya wakijishaua wakati kwao Afrika wamesahau hata kujenga banda la makuti. Loohh! majangaaa hayo

Tatizo ni angeleta hii post kama ni vichekesho, sio kuwapaka maisha yao wanavyoishi....

maana kwa swaga hizi, ni za miaka ya 90....
Kwa leo kuona mtu anafanya vitu kama hivi, halafu wote wanaaonekana ni watu wazima,
Kwangu hii ni komedy saaafii..
 
Yupo bado bongo au alishasepa[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…