Wabeba maboksi wa Ulaya wakijishaua wakati kwao Afrika wamesahau hata kujenga banda la Makuti

Wabeba maboksi wa Ulaya wakijishaua wakati kwao Afrika wamesahau hata kujenga banda la Makuti

Mtoa hoja una roho ya kimasikini, pambana na hali yako, elewa huku lingusenguse hatuna maji Safi na salama hadi leo, ila life goes on,mchawi sana wewe, kujenga au kutojenga wewe kunakusaidia nini?
 
Wabongo bana...sasa nini mantiki ya huu uzi, kwani kujenga kibanda kwao kuna ulazima gani, wacha watu wapae kama tai. Sio kila mtu ana akili za kuganda hapo kijijini....
 
Wabongo bana...sasa nini mantiki ya huu uzi, kwani kujenga kibanda kwao kuna ulazima gani, wacha watu wapae kama tai. Sio kila mtu ana akili za kuganda hapo kijijini....
Zelenskyy wewe ushajenga kwenu huko kwa mabillion ya wamarekani ata kutucheka basiii🤣🤣
 
Kama hawa ndio WaTZ waendelee kula bata Ulaya tu, sio kwa Kichwa maji kama hawa
Screenshot_20230811_223025_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom