Wabobezi wa Masuala ya Kulia Misibani Majumbani / Viwanjani hii Style mpya ya Kulia kwa Kusikilizia Kwanza inaitwaje?

Wabobezi wa Masuala ya Kulia Misibani Majumbani / Viwanjani hii Style mpya ya Kulia kwa Kusikilizia Kwanza inaitwaje?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Unakuta Kundi Kubwa la Watu ( Waombolezaji ) muda wote tu wakiwa Msibani au katika Uwanja wote huwaoni Wakilia tena Macho yao huwa ni Makavu kabisa, lakini wakiona tu Camera za TBC1, ITV na Azam tv zinawamulika ghafla utawaona Wakilia kwa Uchungu na Camera zikiwahama tu Wananyamaza, wanafuta Machozi yao ya Kinafiki na Kuendelea kupiga Stori za Vicoba, Mabwana na Kubeti Mikeka.

Je, Style hii ya Kipekee huwa inaitwaje?
 
Kule Kwetu kijijini twaita njiko tafsiri yake kwa kiswahili kinyago mtu.
 
Bongo movie style hii
Kuna Mtu nimeona muda wote alikuwa halii na Machozi yake yapo Mbagala ( namaanisha mbali sana ) ila Camera ya Azam tv ilimpommulika alianza Kulia ghafla na Machozi tele utadhani aliyatunza Mfukoni mwake na Camera ilipomuhama tu akanyamaza na Kuanza Kutabasamu huku akichomoa Mkeka wake ili aanze Kubeti Mbio za Pundamilia huko Australia.
 
Back
Top Bottom