MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Unakuta Kundi Kubwa la Watu ( Waombolezaji ) muda wote tu wakiwa Msibani au katika Uwanja wote huwaoni Wakilia tena Macho yao huwa ni Makavu kabisa, lakini wakiona tu Camera za TBC1, ITV na Azam tv zinawamulika ghafla utawaona Wakilia kwa Uchungu na Camera zikiwahama tu Wananyamaza, wanafuta Machozi yao ya Kinafiki na Kuendelea kupiga Stori za Vicoba, Mabwana na Kubeti Mikeka.
Je, Style hii ya Kipekee huwa inaitwaje?
Je, Style hii ya Kipekee huwa inaitwaje?