Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
..."inasemekana"Ni mtu na kaka yake...baba mmoja mama mbalimbali.
inasenekana mzee wao ambaye kwa sasa ni marehemu,alikuwa ni mmoja ya wazee wa mashuhuri wa mujini ktk jiji la dar.
umaarufu wake ukapelekea kuwa na Wanawake wengi aliozaa nao.huko ndio walipatikana mama zao akina wabogojo na huyo shamsa ford.
Hapo nimekusoma mkuu na mimi hisia zangu zilikuwa zinanituma ukoNi mtu na kaka yake...baba mmoja mama mbalimbali.
inasenekana mzee wao ambaye kwa sasa ni marehemu,alikuwa ni mmoja ya wazee wa mashuhuri wa mujini ktk jiji la dar.
umaarufu wake ukapelekea kuwa na Wanawake wengi aliozaa nao.huko ndio walipatikana mama zao akina wabogojo na huyo shamsa ford.
Uyo ford alikuwa tajiri?Aliimbwa hadi na Safar sound kama sijakosea "Maisha uliyonayo sasa eeh Ford eeh jihadhari na Anasa"aliimba Gurumo enzi zake;makazi yake yalikua ile barabara ya kutoka Afrikana kuelekea mabatini nadhan ameshafariki miaka ila mwanzon mwa 2000s Afya ilizorota alikua anakaa nje ya nyumba anaota jua asubuhi ukiambiwa ndio Ford check bob wa zaman huwez kuamin
Kizamanzaman unaweza kusema ni tajir ni design za mapedeshee hawa wa sasa Msofe,Katunz nk ingawa yeye hakua mpigajiUyo ford alikuwa tajiri?
ndio ulivoingia mjini bila shaka...."inasemekana"
..ulikuwa bado hujaja mjini na fuso la mananasi nguo kwenye birika!
Macau ni wapi?
Macau ni wapi?