Wabongo bana, yaani kwenye msiba nyinyi huwa mnawaza kitoweo?

Wabongo bana, yaani kwenye msiba nyinyi huwa mnawaza kitoweo?

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
[emoji1][emoji1][emoji1]
9323305_db___1_jpg54af7971b5b0ec6d378d2202964f750a
Hapa ni kwenye sehemu ya tukio la ajali barabarani ambapo mbwa aligongwa na gari hadi akafa. Ila ajabu ni kwamba hawa vijana wawili watz waliamua kurushiana makonde badala ya kuomboleza. Kisa ni na nani kati yao ambaye angemchinja na kumla huyu Bosco wa Luangalila.
 
Tanzania hatupititi kulia barabarani, jipange hao ni wakenya wenzako[emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji849][emoji12][emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]
 
Mkiambiwa Mirungi haifai kwa afya hamuelewi matokeo yake unaokoteza picha za kwenu Kenya.
Jombaa, hapo ni Iringa, ndio hii picha nyingine. Acha kujitia hamnazo, haya ya wala mbwa Tz unayafahamu vizuri.
FB_IMG_14776620324787078.jpg
 
Back
Top Bottom