pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
du haya banaTanzania hatuna wanaume wenye sura za mirungi hiyo ni Kenya hata mazingira yanaonesha.
Mkiambiwa Mirungi haifai kwa afya hamuelewi matokeo yake unaokoteza picha za kwenu Kenya.Only in Tanzania.
Tangu lini tunaendesha gari left hand?
Huwa wanamtafuna huyo mnyama bila mzaha. Nyama ya mbwa wameipa jina la utani, eti hot dog. 😀Khaai, kwani wtz wanakula mbwa?
Jombaa, hapo ni Iringa, ndio hii picha nyingine. Acha kujitia hamnazo, haya ya wala mbwa Tz unayafahamu vizuri.Mkiambiwa Mirungi haifai kwa afya hamuelewi matokeo yake unaokoteza picha za kwenu Kenya.
Halafu hiyo ni Nigeria mtoa mada acha urongo