supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,017
- 1,965
Kweli mkuu*Nilichogundua ni bora usutwe na wadada wacheza vigodoro kuliko kusutwa Na Gwajima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*
Haleluuuuuyaaaa
Dr Slaa mpaka Leo hajulikani alipo
Mange kimambi cha mtoto kwa Gwajima.... Mbaba ana hadi namba ya mdada aliyekinadi cheti cha Paulo kwa Daudi! DaahAhahahahh na Mange Kimambi pia!
Ohoooo!!!Sasa daud anachangiwa na wote wawili[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ohoooooo!!!Mange kimambi cha mtoto kwa Gwajima.... Mbaba ana hadi namba ya mdada aliyekinadi cheti cha Paulo kwa Daudi! Daah
Kanisa limegeuka la siasa, pole waumini wake ote maana inaonekana ote ni wapinzani.Gwajima mzee wa Helicopter ni balaaa,ile style yake yakusuta madhabauni inawaingia sana watumishi wa mungu.Amepandikiza ile style kwa wapendwa wake
Adhabu ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya unaijuwa? Omba usisingiziwe issue hiyo ! Mwache Gwajima aonyeshe jinsi gani binadamu anaweza kukuzuria jambo zito bila sababu ukaangamia.Kanisa limegeuka la siasa, pole waumini wake ote maana inaonekana ote ni wapinzani.
Lakini kama mtumishi wa Mungu alipaswa kumshukuru Mungu juu ya Hilo, sasa hapo huoni katangaza vitaa?? Kupambana na serikali na yeye mchunga kondoo wa Bwana!!Adhabu ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya unaijuwa? Omba usisingiziwe issue hiyo ! Mwache Gwajima aonyeshe jinsi gani binadamu anaweza kukuzuria jambo zito bila sababu ukaangamia.