barakachaplin
Senior Member
- Jan 24, 2014
- 118
- 53
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mbavu zanguWatu kweli wamezoea vya kunyonga!!!!....
WABONGO SINA HAMU NAO...!!
Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya
kuondokana na lile la zamani, basi akaliweka
nje ya nyumba yake na kuandika kibao:-
"ANAYE TAKA KUCHUKUA, ACHUKUE BURE".
Watu wakawa wanapita wanafungua lakini kila
mtu akawa anaogopa kuchukua maana hakuna
aliyeamini mtu anaweza akagawa friji zima
bure.
Baada ya kuona wiki imepita halijachukuliwa,
akaandika:-
"FRIJI INAUZWA LAKI 3"
Usiku uleule likaibiwa...
Watu kweli wamezoea vya kunyonga!!!!....
WABONGO SINA HAMU NAO...!!
Jamaa alinunua friji jipya, akawaza namna ya
kuondokana na lile la zamani, basi akaliweka
nje ya nyumba yake na kuandika kibao:-
"ANAYE TAKA KUCHUKUA, ACHUKUE BURE".
Watu wakawa wanapita wanafungua lakini kila
mtu akawa anaogopa kuchukua maana hakuna
aliyeamini mtu anaweza akagawa friji zima
bure.
Baada ya kuona wiki imepita halijachukuliwa,
akaandika:-
"FRIJI INAUZWA LAKI 3"
Usiku uleule likaibiwa...
Ni kweli hata mi mwenyew nikitaka kudokoa kitu siwez dokoa kilichowaz bali kilichofichwa ndo chenyew haswaandio hivyo hata majambazi wakikuta mlango uko wazi hawaingii... wanasubiri ufungwe wauvunje ndo waingie.