wabongo tupunguze tamaa.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
leo nimerudisha ile form ya kuomba kazi ya sensa.daaah!!!nilicho kikuta huko,yani watu ambao tayari wana ajira zao nao eti wamepeleka maombi yao.jamani si mtuachie hata na sisi ambao hatuna job tujaribu bahati zetu,kazi yenyewe ni ya mwezi mmoja tu,au ndo mnataka watu tuwe vibaka huku mitaani?
 
daaah! hali inatisha sana aisee! nimechoka!
 
wenye kaz wanapata mishahara vijicent waache tu waombe
 
bora hao wanaoomba kazi kuliko kuomba hela.....kila mtu akomae kivyake.mimi hapo sikuungi mkono,hiyo siyo tamaa,hiyo ni juhudi,sababu wako ma-jobless kibao tu ambao hata wao hawataomba nafasi hiyo utakayo,tena ni oppportunity nzuri sana kwako kutengeneza network,na itakurahisishia kupata kazi,,,,nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…