Hapana arifu.....kweli viza pale ubalozini nimedunda mara kibao jamaa wananipa mashuti kama ya Hamisi gaga.....lakini mazee mimi najua majuu mnakula happy aisee....full bata bonge la wetha.....mibarafu miksa mabaga na mapizza na soda za kopo za kumwaga....Wee jamaa yaelekea ulikuwa na usongo sana wa kuondoka halafu labda ukanyimwa visa basi na ndoto zako za kwenda majuu zikafilia mbali.
Huachi kufatafata wabongo wa majuu. Pole.
Hapana arifu.....kweli viza pale ubalozini nimedunda mara kibao jamaa wananipa mashuti kama ya Hamisi gaga.....lakini mazee mimi najua majuu mnakula happy aisee....full bata bonge la wetha.....mibarafu miksa mabaga na mapizza na soda za kopo za kumwaga....
...
sasa hii picha cheki ukumbi kwanza kama parking ya gari.....ka flati skrini kadoonyo kamoja tu....afu hakuna AC aisee...
uswazi hamna baga......Baga mbona hata bongo zipo....nenda Stiaz ukapate chiiz baga.
Kama huwezi kuafodi za Stiaz ingia uswazi. Vibanda vya baga kibao. Jero tu unakamata baga yako kama triple baconator ya Wendy's, Burger King, Hardee's, au Micky Dee's
uswazi hamna baga......
...
afu majuu mnatumia mikorogo aisee....
Arifu majuu majuu bana....kule mashopingi moli ,Ma Plaza ya kumwaga....afu kule watu wanaishi kwenye Maapatimenti, mariili esteti broka, mabangaloo, na maskai skrepa!......kweli mkuu yoyo unajua kuponda'kwani kuna mtu alikuambia kule wanaokota hela barabarani?
Hapo ni london au Mbagala equetorial grill.
Arifu majuu majuu bana....kule mashopingi moli ,Ma Plaza ya kumwaga....afu kule watu wanaishi kwenye Maapatimenti, mariili esteti broka, mabangaloo, na maskai skrepa!......