[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikajenge wapi? Muda bado bhana wee.
Msamala au mitaa ya Luhwiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikajenge wapi? Muda bado bhana wee.
Labda mshangano. [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa [emoji2369][emoji2369][emoji2369]Labda mshangano. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini alikwenda kumzika huko? facts of our case are not in consonant with the actions after death! UKIJUA UTAMZKA HUKO UJOMBANI, BASI patengeneze angalau kwa nyumba ya tope iliyopigwa lipu, au usimzike huko after all wamemtelekeza, sasa why kumzika huko....
Sasa si alitaka ashushe mjengo wa maaana baada ya kupata mahari hioHivi unakumbuka alivyotangaza kuwa mahari yake ni millioni 200..ndio maana watu wanakomaa nae...