Kijana hana fikra zingine kukaba tu ndio apate mtaji khaa safati yake ni ndefubsanaa.....anfetulia bongo kuna chuo DMI asome mwakatu apate certificate anakula mrli safiii akiwa Afisa....kazi atazikuta huko kugonga kutu kwenye meli na kazi zingine.....anatambulika seaman kabisa.....kuzamia karne hii .....ataishia nyuma mlima kama alivyosema
Maisha huko huwa magumu sana kwa hao jamaa mwisho huishia kuajiriwa kuuza bangi na unga na usually m-bongo na uaminifu ni maji na mafuta huwadhulumu matajiri zao na kuishia kupigwa chuma!
Case nyingi za vijana wa k-Tz wanaouwawa South ni wizi (ukabaji) pamoja kukosa uaminifu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.