Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I hope so.Zimesambaa sana utaziona tu
Halafu hao ni me ndiyo kazi zaoSijui kwa nini hata sina muda na hizo kitu, nafikiri ni mimi tuu mwenye simu janja na sijaona. Kama ya Gwajima nilisikia tuu na nadhani mimi ndo sikuona!
Cha ajabu nashangaa watu wanavyohangaika kusaka video!
Sijui kwa nini hata sina muda na hizo kitu, nafikiri ni mimi tuu mwenye simu janja na sijaona. Kama ya Gwajima nilisikia tuu na nadhani mimi ndo sikuona!
Cha ajabu nashangaa watu wanavyohangaika kusaka video!
Ni tabia mbaya sana!Halafu hao ni me ndiyo kazi zao
Sawa Mkuu!Safi sana mama.
Hapo ulipo....ndipo sehemu sahihi, hivyo simama hapo hapo!
All the best....!Sawa Mkuu!
Same to you!All the best....!
Same to you!