Wabongo wengi wana shobo sana

Wabongo wengi wana shobo sana

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Bosses salute! Kumekuwa na katabia ka kishenzi mno kutoka kwa WaTZ wengi, eti wanaungana na wale Negros wa US kupiga vita na kukemea ubaguzi wa rangi. Kweli miTZ mingi ni mijinga mno.

Sawa ulibaguliwa ulipokwenda US su UK kusoma masters, so what? Kwani lazima Wazungu waku admire? Watu wanachanganya kubaguliwa/kukwepwa na kutwezwa utu wao. Hivi vitu 2 ni tofauti mno.

Wewe nani kakukataza kuwabagua? Sio dhambi Mzungu kukubagua we Mmatumbi kutoka Moshi ndani ndani uliyekwenda Ulaya kusoma, coz nawe hujakatazwa kuwabagua.

Kulazimisha kuwa sambamba na Wazungu ilhali wao hawataki ni dalili za shobo, ambazo tunazipiga vita kila kukicha. Wewe piga kelele ikiwa utu wako umetwezwa, ila si kubaguliwa na kutopewa vipaumbele kwenye huduma.

Kwani we bongo Watasha huwaoni si uwabague? Acha shobo! Hakuna aliyekukataza kuwabagua whites wa hapa Bongo mradi tu usiutweze utu wao(usiwadhalilishe, wengi wanachanganya haya). Watu hawataki shobo jamani acheni ku force.

Na wewe si ufungue huduma yako then uwape priority weusi wenzio na uwabague wateja wa kizungu nani kakukataza? Asha shobo Mmatumbi wewe!!

Kwanza Negros wengi wa kule hawawapendi Waafrika wala hawataki shobo nao. Ni upumbavu tu wa WaTZ walio wengi ku force shobo nao. Negros wengi ni wahalifu, wasumbufu na wauaji achilia mbali drug dealers, mnajua hili. So wanapouawa wana deserve kutokana na sheria husika.

Acheni kuleta masuala ya rangi rangi ktk kila kitu hata kama wanakosea.

Wao ni lini wamewahi kupiga kelele kupinga masuala ya mauaji yanayotokea huku Afrika? Wamewahi lini KWA UMOJA wao kupinga uonevu wa serikali kwa raia wake huku Afrika? Tutafakari!

Wakivunja sheria je, wasiuawe?

Wakitaka kujihami dhidi ya polisi je, polisi weupe wasijihami nao?

Sioni kosa kwa whites kuwabagua blacks interms ya rangi nyeusi, si dhambi.

Ukini tag ktk issue ya kupinga ubaguzi wa rangi NAKU BLOCK.

Tuache shobo!
 
Mi nilishangaa mwaka ule watu wanaonea huruma negros kwenye maandamano yao ya “Black lives matter” , lmaoo wangejua kuwa ukiwa US utabaguliwa na black american kabla hata ya mzungu wasingejisumbua.

Anyway, wabongo wengi hawana exposure kujua hayo so cut them some slack!
 
Achana na huko mkuu we njoo hata huku bariadi ndani ndani na gari lako upotee njia usimamishe gari njiani utafute mtu wa kukuelekeza uone watu wa huku wanavyofyatuka mbio,,,

huo nao ni ubaguzi tosha
 
Daaa aseee, mkuu waafrika/tz wana shobo sana hata kwa mtu ambaye hausiki na maisha yao, wewe angalia humu JF, yaani shobo mpaka ndani kwa mtu wakati hakufaham hata theruthi!.
 
Achana na huko mkuu we njoo hata huku bariadi ndani ndani na gari lako upotee njia usimamishe gari njiani utafute mtu wa kukuelekeza uone watu wa huku wanavyofyatuka mbio,,,

huo nao ni ubaguzi tosha
Hahahahahaha
 
Back
Top Bottom