KERO Waboreshaji Daftari la Kudumu la wapiga kura Kigoma wanyimwa posho ya nauli siku za kazi licha ya tangazo la Mkurugenzi wa Tume Huru kuonesha malipo

KERO Waboreshaji Daftari la Kudumu la wapiga kura Kigoma wanyimwa posho ya nauli siku za kazi licha ya tangazo la Mkurugenzi wa Tume Huru kuonesha malipo

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Waboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Kigoma wanyimwa posho ya usafiribkiasi cha shilingi 90,000/= kwa kila mshiriki.

Wadau walihoji kabla ya kuanza kwa zoezi la uandikishaji juu ya malipo ya pesa hiyo 10,000/= ndani ya siku tisa za kazi hakika majibu ya viongozi hayakua rafiki na mwisho wa siku waliambiwa hawatalipwa.

Washiriki walihoji na kusoma tangazo la ajira ambalolilitolewa na Mkurugenzi wa tume huru lakini wasimamizi wa zoezi waliendelea kupinga na hadi jana 27/07/2024 washiriki wamekabidhi vifaa na kutawanyika bila kupewa mrejesho na pesa yao.

Tuna muomba mkurugenzi wa tume huru alitolee ufafanuzi suala hili na ikiwezekana tulipwe posho yetu.
 
Wameshawapiga kama kawaida yao na hao wapigaji trust me hawatafanywa kifu
 
Wamekula kwa urefu wa kamba ni maagizo kutoka kwa mkuu wao wa kazi
 
Naamini mamlaka zimesikia jambo hili na haki itatendekea.
 
Safi sana. Hivyo viajira mngewaachia wadogo zetu wahitimu wapate hata vocha, lakini walimu mnakaba kote. Wawanyooshe tu.
 
Waboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura Kigoma wanyimwa posho ya usafiribkiasi cha shilingi 90,000/= kwa kila mshiriki.

Wadau walihoji kabla ya kuanza kwa zoezi la uandikishaji juu ya malipo ya pesa hiyo 10,000/= ndani ya siku tisa za kazi hakika majibu ya viongozi hayakua rafiki na mwisho wa siku waliambiwa hawatalipwa.

Washiriki walihoji na kusoma tangazo la ajira ambalolilitolewa na Mkurugenzi wa tume huru lakini wasimamizi wa zoezi waliendelea kupinga na hadi jana 27/07/2024 washiriki wamekabidhi vifaa na kutawanyika bila kupewa mrejesho na pesa yao.

Tuna muomba mkurugenzi wa tume huru alitolee ufafanuzi suala hili na ikiwezekana tulipwe posho yetu.
kwani walitumwa? si i njaa zao tu ndiozimewapeleka uko, maisha ya kuwa chawa ni shida sana na utakua asilimia tisini na tisa niwatoto wa hao hao mafiisiiemu, yaani nchi hiyo kila itu cha mchongo mchongo waache wapambae na hali zao, kwahiyo huku wanakuja kutafuta sympathy au. mfiyuuuuuuuuuuuuuu.
 
Back
Top Bottom