Wabunge kama hawasikii kilio juu ya HESLB

Umesahau kuwa jiwe aliwapa mlungula wabunge wote wa lumumba wakati wa kupitisha hyo sheria?????Tatizo watanzania ni wepesi kusahau,mbowe alijitokeza kupinga hyo sheria akamtuhumu jiwe kuwahonga yy alijibu kirahisi eti ilikua ruzuku ya ccm
 
Unazungumzia wabunge gani labda??? Hawa wabunge la kijani sio?
 
Malengo ni kuanzisha vyanzo vipya vya mapato,wasikilize vilio vyakupunguza vyanzo vya mapato nani kasema.
 
TAKE NOTE: TANZANIA HATUNA WABUNGE... HAKUNA MBUNGE ALIYECHAGULIWA NA WANANCHI
 
Umesahau kuwa jiwe aliwapa mlungula wabunge wote wa lumumba wakati wa kupitisha hyo sheria?????Tatizo watanzania ni wepesi kusahau,mbowe alijitokeza kupinga hyo sheria akamtuhumu jiwe kuwahonga yy alijibu kirahisi eti ilikua ruzuku ya ccm
Wote waliopitisha nyingi ya sheria mbovu,wengi leo hii hawana nafasi hiyo tena na sheria hizo zina minya na wenyewe,ndio ile kusema malipo hapa hapa,maishani.
 
Ni mwendo wa kunyamaza tu hakuna wa kukusikiliza hata Kama unaushauri mzuri
 
Hawa wabunge waliotokana na uchafuzi mkuu wa mwaka 2020, kwa sasa watakuwa wanajipanga kulilia pesa yao ya mkopo wa gari iliyopigwa panga, it is so unfortunate safari hii hatuna bunge bali lundo la waimbaji wa mapambio wa kupitisha hoja za malaika mkuu.
 
Hakina wabunge tena,
Waliyopo ni wajumbe wa kamati kuu ya CCM,
Hata wale Covid 19 Kama watakuwepo ,msitegemee watapaza sauti,ndiyo mashariti ya aliyewateua,


Muhimu ni kwamba kila timu ishinde mechi zake za nyumbani.
Kwahiyo mmeshindwa kuwafuta uwanachama hao covid 19?
 
Wabunge wenyewe wale wa kigezo cha kujua kusoma na kuandika waliojazana mle au kuna bunge jingine!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…