Kenya 2022 Wabunge Kenya: Ruto 165, Odinga 164 na 14 ni Huru. Tanzania CCM 370, ACT 4, CHADEMA 1, CUF 1 na 19 hawana Chama

Kenya 2022 Wabunge Kenya: Ruto 165, Odinga 164 na 14 ni Huru. Tanzania CCM 370, ACT 4, CHADEMA 1, CUF 1 na 19 hawana Chama

Kenya 2022 General Election

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania

Kwa mfano CHADEMA ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa

Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya Kwanza Wana Wabunge 165 na Azimio wabunge 164 tofauti ya mbunge mmoja japo kuna majimbo mawili matatu uchaguzi uliahirishwa

Bavicha mna la kujifunza kule Kenya
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania

Kwa mfano Chadema ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa

Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya Kwanza Wana Wabunge 165 na Azimio wabunge 164 tofauti ya mbunge mmoja japo kuna majimbo mawili matatu uchaguzi uliahirishwa

Bavicha mna la kujifunza kule Kenya
Kenya 🇰🇪hakuna vyama vya siasa kama Tanzania🇹🇿. Kule kuna wafuasi wa mtu/mgombea. Vile mgombea huwakilisha kabila, ndiyo tofauti iliyopo
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania

Kwa mfano Chadema ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa

Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya Kwanza Wana Wabunge 165 na Azimio wabunge 164 tofauti ya mbunge mmoja japo kuna majimbo mawili matatu uchaguzi uliahirishwa

Bavicha mna la kujifunza kule Kenya
Jo wenzako wanafanya uchaguzi,wenzangu na mie,akina Jo wanafanya uchafuzi halafu unazileta tathimini uchwara humu🤔.Wewe wa wapi vile,kiburugwa au kimbangulile 🏃
 
Usilinganishe Kenya na mambo ya ujinga ujinga yaliyopo Tanzania. Nchi ya watu wenye akili hawawezi kuruhusu mbweha 19 wawepo bungeni
Hiyo Kenya mnayoitamani inakuja hivi karibini.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania

Kwa mfano Chadema ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa

Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya Kwanza Wana Wabunge 165 na Azimio wabunge 164 tofauti ya mbunge mmoja japo kuna majimbo mawili matatu uchaguzi uliahirishwa

Bavicha mna la kujifunza kule Kenya
CDM ina Mbuge 1 kwa uchaguzi upi uliofanyika, kuna wakati huwa unawaza kwa kutumia nini wewe johnthebaptist ?
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania

Kwa mfano Chadema ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa

Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya Kwanza Wana Wabunge 165 na Azimio wabunge 164 tofauti ya mbunge mmoja japo kuna majimbo mawili matatu uchaguzi uliahirishwa

Bavicha mna la kujifunza kule Kenya
Ina maana hutambui maono ya dada yako mbeba mhimili wa nyumba ya pale Dodoma. Chadema 1+19.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania

Kwa mfano Chadema ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa

Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya Kwanza Wana Wabunge 165 na Azimio wabunge 164 tofauti ya mbunge mmoja japo kuna majimbo mawili matatu uchaguzi uliahirishwa

Bavicha mna la kujifunza kule Kenya
Yule ngiri wenu Mahera kawaambia Kenya waje wajifunze huku.
 
Kule Chebukati Wafula Hakutaka Mambo Ya Negotiate
Amefanya Kazi Kwa Weledi Mkubwa Bila Woga Wala Tashwishi
 
Time will tell. Ni suala tu la muda. Dalili za uvumilivu ndiyo zinaelekea mwishoni bila shaka.
 
Takwimu Raila alishinda
FB_IMG_1660813697968.jpg
 
Back
Top Bottom