Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hayo yameelezwa na wabunge baada ya hoja maalumu ya kumbandua naibu wa Rigathi Gachagua kuwasilishwa bungeni mchana wa leo Oct 01.2024.
Kiongoza wa wachache bungeni Mh.Junet Mohamed alitoa angalizo la kiusalama mbele ya spika na kwamba Inspekta Generali mpya wa polisi anawajibika kuwahakikisha ulinzi na usalama wa wabunge haswa waliotajwa kwa majina bungeni, kulingana na unyeti na uzito wa hoja yenyewe. Mh.Juneti aliongeza kwa kutoa wito kwa wabunge hao wote waliotia sahihi muswada huo, siku ya kutoa uamuzi wa mwisho asikosekane hata moja, wote wawepo.
- Hoja maalumu ya kumwodoa Gachagua yawasilishwa bungeni
Kwa upande wake Mh.Maalim Farah mbunge wa Dadaab, alidai haitoshi tu kuwalinda wabunge 291 waliosaini kuunga mkono muswada huo, bali pia ni Lazima kuulinda mfumo wa kiusalama na Inspector Generali wa polisi ni muhimu kumlinda RAIS kufa na kupona, akiwakumbusha aina ya katiba walio nayo kwamba any reckless thugs can decide to change the course of history.
Hayo yote yamekuja baada ya uvumi uliosambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii Kenya kwamba kabla ya March 2025, bendera inaweza kua inapepea nusu mlingoti.
Kiongoza wa wengi bungeni Kimani Ingung'wa, aliwahakikishia wabunge hao usalama wa uhakika, na alimueleza spika kwamba analazimika kumulekeza Inspekta Generali mpya wa Polisi, ambae alithibitishwa na bunge hilo chini ya mwezi moja uliopita, kuhakikisha kwamba wabunge wanakua salama kwenye kazi za kamati, ndani na nje ya bunge na mpka majumbani mwao na hasa ukizingatia wakati huu ambapo, alisema we are not dealing with an ordinary matter, we are not dealing with an ordinary man, we are dealing with black man with black heart. Alihitimisha hivyo Kimani Ingung'wa kiongozi wa wengi bungeni.
Je, kwanini wabunge wamejawa hofu hasa wanapojadili hoja hii ya kikatiba ya kumbandua naibu wa rais Rigathi Gachagua? Ni kwa kiasi gani anatisha mtu huyu hata wabunge waingiwe kiwewe hivyo 🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Kiongoza wa wachache bungeni Mh.Junet Mohamed alitoa angalizo la kiusalama mbele ya spika na kwamba Inspekta Generali mpya wa polisi anawajibika kuwahakikisha ulinzi na usalama wa wabunge haswa waliotajwa kwa majina bungeni, kulingana na unyeti na uzito wa hoja yenyewe. Mh.Juneti aliongeza kwa kutoa wito kwa wabunge hao wote waliotia sahihi muswada huo, siku ya kutoa uamuzi wa mwisho asikosekane hata moja, wote wawepo.
- Hoja maalumu ya kumwodoa Gachagua yawasilishwa bungeni
Kwa upande wake Mh.Maalim Farah mbunge wa Dadaab, alidai haitoshi tu kuwalinda wabunge 291 waliosaini kuunga mkono muswada huo, bali pia ni Lazima kuulinda mfumo wa kiusalama na Inspector Generali wa polisi ni muhimu kumlinda RAIS kufa na kupona, akiwakumbusha aina ya katiba walio nayo kwamba any reckless thugs can decide to change the course of history.
Hayo yote yamekuja baada ya uvumi uliosambaa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii Kenya kwamba kabla ya March 2025, bendera inaweza kua inapepea nusu mlingoti.
Kiongoza wa wengi bungeni Kimani Ingung'wa, aliwahakikishia wabunge hao usalama wa uhakika, na alimueleza spika kwamba analazimika kumulekeza Inspekta Generali mpya wa Polisi, ambae alithibitishwa na bunge hilo chini ya mwezi moja uliopita, kuhakikisha kwamba wabunge wanakua salama kwenye kazi za kamati, ndani na nje ya bunge na mpka majumbani mwao na hasa ukizingatia wakati huu ambapo, alisema we are not dealing with an ordinary matter, we are not dealing with an ordinary man, we are dealing with black man with black heart. Alihitimisha hivyo Kimani Ingung'wa kiongozi wa wengi bungeni.
Je, kwanini wabunge wamejawa hofu hasa wanapojadili hoja hii ya kikatiba ya kumbandua naibu wa rais Rigathi Gachagua? Ni kwa kiasi gani anatisha mtu huyu hata wabunge waingiwe kiwewe hivyo 🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
