Mnyampaa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 244
- 58
Wana JF nifungueni katika hili. Wabunge kulipia ada wanafunzi ni PUBLIC RESPONSIBILITY ya mbunge au ni RUSHWA kwa wapiga kura. Ninaelewa kuna mfuko wa kusomesha wasiojiweza katika Halmashauri ingawa sifahamu unavyoendeshwa. Kwa hili naona lina utata. Kama ni sehemu ya wajibu, na wazazi wafanye nini?